Mzee Wassira: Madaktari wanasema Niko vizuri. Mimi mwenyewe Siwezi Kujua ila madaktari wanasema Niko Fiti!

Mzee Wassira: Madaktari wanasema Niko vizuri. Mimi mwenyewe Siwezi Kujua ila madaktari wanasema Niko Fiti!

Makamu Mwenyekiti wa CCM Mzee Wassira amesema madaktari wanasema yuko Fiti, Yeye mwenyewe hawezi kujua lakini madaktari wanasema yuko Fiti

Wassira alikuwa akiongea na Waandishi wa Clouds media na kusisitiza " nyie Wenyewe mmenikuta Niko hapa nawasubiri hii maana yake Niko vizuri sana"

View attachment 3236439

Source Clouds media
Kama hata wewe mwenyewe hujijui kama uko fit hivi unajitambua kweli kweli?
 
Screenshot_20250211_161926.jpg
Tatizo usingizi
 
Kasongo mbona unajitetea wewe kausha tu endelea kusinzia haina shida
 

Attachments

  • FB_IMG_1738686918387.jpg
    FB_IMG_1738686918387.jpg
    35 KB · Views: 1
  • IMG-20250122-WA0047.jpg
    IMG-20250122-WA0047.jpg
    32.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250125_092130.jpg
    Screenshot_20250125_092130.jpg
    120.8 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1738686918387.jpg
    FB_IMG_1738686918387.jpg
    35 KB · Views: 1
  • FB_IMG_17386715241787585.jpg
    FB_IMG_17386715241787585.jpg
    163.6 KB · Views: 1
  • Gi72JxVWgAA0YAz~2.jpeg
    Gi72JxVWgAA0YAz~2.jpeg
    15.3 KB · Views: 1
Omba upumzike we mzee, utafia majukwaani huwezi kupambana na wajukuu zako kina Twaha Mwaioaya na Pambalu wenzio damu changa. Utakufwa vby ww uwaache wajukuu zako na masikitiko.

Hii miaka umepewa na Mwenyezi Mungu itumie kuacha legacy kwa wajukuu zako na si kuanza mikiki mikiki na vijana wadogo kisa kuwatetea vibaka wa kura CCM.
 
Kwa kumwangalia sura yake inaonesha huyo mzee amechoka na anatakiwa kupata muda mwingi wa kupumzika.Ipo siku atasinzia nusu saa nzima kwenye midahalo
Mumeishaambiwa gari ni injini siyo bodi!
Sasa hizo habari za sura inaonyesha sijui nini ni hoja za kike!
Hakuna mwanaume mwenye akili anayejaji sura za wanaume wenzake , kwani wewe ulitaka Mzee Wasira awe na sura nzuri unataka akuoe ili uzae nae wasichana wenye sura nzuri?!
 
sure,
Mzee wasira yuko vizuri kuliko Trump,

kibaka wa chadema licha ya kushauriwa na madaktari apumzike kutokana na hali yake but ameshupaza shingo na huo ni uamuzi wake.

acha afanye siasa na clinic 🐒
Nani huyo? Ni Lissu?
 
Wapi umemuona amelala au umemfumania kalala na demu wako ?!
Huyo hapo tena ameanza zaidi ya miaka 20 iliyopita hizo zote ni katika matukio tofauti tofauti
 

Attachments

  • FB_IMG_1738771860075.jpg
    FB_IMG_1738771860075.jpg
    12.7 KB · Views: 1
  • FB_IMG_17386715241787585.jpg
    FB_IMG_17386715241787585.jpg
    163.6 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1738686918387.jpg
    FB_IMG_1738686918387.jpg
    35 KB · Views: 1
  • Gi72JxVWgAA0YAz.jpeg
    Gi72JxVWgAA0YAz.jpeg
    7.6 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250125_092130.jpg
    Screenshot_20250125_092130.jpg
    120.8 KB · Views: 1
Omba upumzike we mzee, utafia majukwaani huwezi kupambana na wajukuu zako kina Twaha Mwaioaya na Pambalu wenzio damu changa. Utakufwa vby ww uwaache wajukuu zako na masikitiko.

Hii miaka umepewa na Mwenyezi Mungu itumie kuacha legacy kwa wajukuu zako na si kuanza mikiki mikiki na vijana wadogo kisa kuwatetea vibaka wa kura CCM.
Na hapo amepunguza miaka 6 umri wake halisi ni miaka 86+
 
Omba upumzike we mzee, utafia majukwaani huwezi kupambana na wajukuu zako kina Twaha Mwaioaya na Pambalu wenzio damu changa. Utakufwa vby ww uwaache wajukuu zako na masikitiko.

Hii miaka umepewa na Mwenyezi Mungu itumie kuacha legacy kwa wajukuu zako na si kuanza mikiki mikiki na vijana wadogo kisa kuwatetea vibaka wa kura CCM.
Mzee Wasira ana miaka 80 , ni makamu wenyekiti wa Chama Cha mapinduzi!
Mzee Donald Trump ana miaka 79 ni rais wa Taifa kubwa duniani taifa la Marekani USA na ataendelea kuiongoza Marekani hadi mwaka 2029 atakapokuwa na miaka 84.
Papa fransis ana miaka 88 na ni kiongozi wa kanisa katoliki duniani na ataendelea kuliongoza hadi siku ya kufa kwake hata kama akiishi miaka 150 la sivyo aamue mwenyewe kujiuzulu.
Sasa niwaulize swali kuongoza CCM na kuongoza taifa kubwa kama Marekani na kuongoza taasisi kubwa kwa ngazi ya kimataifa kama roman Catholic church duniani ni ipi ni kazi kubwa zaidi inayohitaji mtu mwenye damu changa.
WAPINZANI WA MZEE WASIRA MNAJITOA UFAHAMU KAMA VILE HAMJAWAHI KUONA VIONGOZI WAZEE WENGINE KABLA YA MZEE WASIRA.
 
Nadhani anafanikiwa anachofanya kwa kuwatoa watu kwenye reli kwa kupoteza ammunition zao; The main culprit is still at large... Same old, Same old tricks zinazotumiwa na CCM siku baada ya siku...
 
Mzee Wasira ana miaka 80 , ni makamu wenyekiti wa Chama Cha mapinduzi!
Mzee Donald Trump ana miaka 79 ni rais wa Taifa kubwa duniani taifa la Marekani USA na ataendelea kuiongoza Marekani hadi mwaka 2029 atakapokuwa na miaka 84.
Papa fransis ana miaka 88 na ni kiongozi wa kanisa katoliki duniani na ataendelea kuliongoza hadi siku ya kufa kwake hata kama akiishi miaka 150 la sivyo aamue mwenyewe kujiuzulu.
Sasa niwaulize swali kuongoza CCM na kuongoza taifa kubwa kama Marekani na kuongoza taasisi kubwa kwa ngazi ya kimataifa kama roman Catholic church duniani ni ipi ni kazi kubwa zaidi inayohitaji mtu mwenye damu changa.
WAPINZANI WA MZEE WASIRA MNAJITOA UFAHAMU KAMA VILE HAMJAWAHI KUONA VIONGOZI WAZEE WENGINE KABLA YA MZEE WASIRA.
Kwanza umri sahihi wa huyo babu ni miaka 87,pili katika hao uliotaja umeshawaona wanasinzia hadharani kwa staili ya huyo Kasongo?
 

Attachments

  • FB_IMG_1738771860075.jpg
    FB_IMG_1738771860075.jpg
    12.7 KB · Views: 1
  • Gi72JxVWgAA0YAz~2.jpeg
    Gi72JxVWgAA0YAz~2.jpeg
    15.3 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250125_092130.jpg
    Screenshot_20250125_092130.jpg
    120.8 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1738686918387.jpg
    FB_IMG_1738686918387.jpg
    35 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250125_092130.jpg
    Screenshot_20250125_092130.jpg
    120.8 KB · Views: 1
Back
Top Bottom