Mzee Wassira: Madaktari wanasema Niko vizuri. Mimi mwenyewe Siwezi Kujua ila madaktari wanasema Niko Fiti!

sure,
Mzee wasira yuko vizuri kuliko Trump,

kibaka wa chadema licha ya kushauriwa na madaktari apumzike kutokana na hali yake but ameshupaza shingo na huo ni uamuzi wake.

acha afanye siasa na clinic 🐒
Kwan nn huyu Babu analala jukwaani na hata bungeni alkua na tatzo la usingiz muda mrefu??
 
Kwanza umri sahihi wa huyo babu ni miaka 87,pili katika hao uliotaja umeshawaona wanasinzia hadharani kwa staili ya huyo Kasongo?
Lete ushahidi umri wa mzee Wasira ni 87 yrs!
Huyu ni mtu kazaliwa kabla ya uhuru, hayo mambo ya kupunguza miaka hayakuwepo kwa sababu hapakuwa na faida za kupunguza miaka kwa kipindi hicho. Sasa Mzee Wasira atapunguza miaka kwa faida gani , au ana mpango kwa kumchumbia dada yako ndio ikabidi apumguze umri ili aonekane bado kijana?! Lete ushahidi.
 
Acha kutetea ujinga, mzee dish lishayumba na mwili ushachoka. mnataka kumuua mzee wa watu. Kaanza kazi mwaka 1952 akiwa kijana wa miaka 24 ..hadi leo ana lipi jipya atawapatia kama si kuoiga usingizi.
 
Kamuulize wewe kwa nini amepunguza miaka? Huyu rekodi zake zipo serikalini amezaliwa 1938.
 
Kamuulize wewe kwa nini amepunguza miaka? Huyu rekodi zake zipo serikalini amezaliwa 1938.
Lete hizo rekodi hapa.! Umri unaotambulika huko serikalini hata ukiangalia mitandaoni Mzee Wasira kazaliwa tarehe 1 July 1945.
Sasa wewe unayesema kazaliwa 1938 Lete ushahidi wako!.
 
Huyu Kasongo hana akili kabisa.
 
Lete hizo rekodi hapa.! Umri unaotambulika huko serikalini hata ukiangalia mitandaoni Mzee Wasira kazaliwa tarehe 1 July 1945.
Sasa wewe unayesema kazaliwa 1938 Lete ushahidi wako!.
Unataka niweke nyaraka za serikali hapa? Wewe amini unavyoamini lakini Kasongo umri wake ni miaka 87. Mnafannya mzee wa watu kama msukule, watu wabaya sana nyie
 
Mentally haupo fit dingiii. Umeshazeeka.
 
Unataka niweke nyaraka za serikali hapa? Wewe amini unavyoamini lakini Kasongo umri wake ni miaka 87. Mnafannya mzee wa watu kama msukule, watu wabaya sana nyie
Wewe uwe na nyaraka za serikali kama nani?! Na nyaraka zenyewe ziwe zinazungumzia habari za watu wazito sana katika taifa letu kama Mzee Wasira?!
Ninachojua ni kwamba wapinzani hasa chadema mnamuogopa sana mzee Wasira!
Mkisikia jina lake tu mnachanganyikiwa kwa kujua kwamba CCM wamempa nafasi kiongozi shupavu, meerevu, mwenye uzoefu wa muda mrefu kiasi kwamba HAKUNA KITU HAJUI KUHUSU NCHI YA TANZANIA NA SIASA ZAKE!.
Hilo limewachanganya HADI MUMESAHAU SERA ZENU na sasa imekuwa mkiamka asubuhi hakuna habari zaidi ya Mzee Wasira!
Ikifika mchana ni Mzee Wasira!
Jioni ni Mzee Wasira! Mkitaka kulala basi sala ya kulala ni jina la Mzee Wasira!
Sasa je ni kweli chadema kwa Sasa HAMNA SERA NYINGINE TOFAUTI NA UMRI WA MZEE WASIRA ?!
 
Hatukumuogopa Magufuli tuogope huo msukule muda wote umelala na kububujisha udenda tu? Umesikia viongozi wa Chadema wanamzungumzia huyo Kasongo? Huyo ni takataka tu.
 
Hata sura tu inaonesha yupo vizuri.
 
Kwan nn huyu Babu analala jukwaani na hata bungeni alkua na tatzo la usingiz muda mrefu??
ukiona mtu anapata usingizi popote ujue amani imemtawala,

ukiangalia mtu kama kiongozi msaidizi wa chadema sijui anaitwa Joni kicheche anapata usingizi kweli?

anaonekana kama ana stress za kubeti na maisha, huenda hapati usingizi kabisa 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…