Mzee ukiitafuta hoja yake hauioni, sanasana unamuona anadunda tu kama kitenesiš, .
Jinsi CCM walivyo wauaji watamfuata na kuanza kumsifu na kumjaza maujinga kuwa mzee ni noma, amemwaga 'mapwenti' matupu.
Mzee ukiitafuta hoja yake hauioni, sanasana unamuona anadunda tu kama kutenesiš, .
Jinsi CCM walivyo wauaji watamfuata na kuanza kumsifu na kumjaza maujinga kuwa mzee ni noma, amemwaga 'mapwenti' matupu.
Wasira ametumia jukwaa la CCM kukosoa uamzi wa kuuza bandari. Hicho alichokisema ndo hoja za watanganyika dhidi ya Samia na kundi lake. Kwa kifupi amekosoa kistaarabu.
Yaani ccm ni ajabu sana,
Wasira mwanzo hadi mwisho hajawaeleza wanchi faidi ya kubinafsisha na wao wanashangilia hata pasipo na point mpaka nahisi anahutubia misukule au watu?
Hovyo kabisa
ndio walichochagua kina sufiani matravota na kina bananga, huu ndio ukweli dhahir shahir kabisaaaa, wasipotokea wachache wa kutua hilo zigo wataendelea hivyo milele . MAZEE YA HOVYO+ VIJANA WA HOVYO= Taifa la hovyo.