Mzee Yusufu kumtema mkewe baada ya kugoma kuacha kuimba taarabu kama alivyofanya

Unajuaje Mudy alimwacha Bi hadija au Aisha hivi hivi?

Jambo usilojua ni usiku wa giza mkuu.
 
Unaharibu lugha ya Taifa kwa sababu gani? Au umesoma madrasa peke yake,jiandikishe elimu ya watoto wakubwa (MEMUKWA) ili ukuze lugha yako ili usiwe unachapia ovyo.
NA kila aliesoma Madras basi herufi hazimtatizi kwa taarifa yako penye l ataweka hiyo hiyo l chunguza wengi wasiopitia Madras ndo wale penye l ataweka r ili mradi kizaazaa
 
NA kila aliesoma Madras basi herufi hazimtatizi kwa taarifa yako penye l ataweka hiyo hiyo l chunguza wengi wasiopitia Madras ndo wale penye l ataweka r ili mradi kizaazaa
kumbe?
 
Kina james delicious mnapenda taarab
 
Wifi mtu mambo ya kaka yake na mkewe yanamuhusuje?
Huyo Mzee naye, kwani ye aliacha ghafla kuimba? Yeye alijitafakari akaamua kuacha taarab, amuombee mkewe na kuendelea kumshauri, taratibu naye ataacha.
 
Malkia Leyla ukipokea tu ile talaka njoo inbox tuongee kiutu uzima tafadhali
 

Dada M/Mungu ni mwingi wa msamaha. Kinachohitajika kwake (Mungu) ni toba ya kweli, baaasi. Sasa wewe ni nani mpaka useme moto kwa Mzee Yusuph haukwepeki?!! Halafu kuhusu nyimbo zake ameshaweka wazi kuwa hausiki na dhambi yoyote tena itokanayo na kuskiliza hizo nyimbo. Amewataka watu wote waache kuziskiliza na hata kuziuza. Yani, sikiliza at your own risk!
 
Hivi na wale waliopotea kupitia nyimbo zake kawarudisha wawe watu Wema? Hivi nyie mnadhani Mungu ni mjomba wenu tunatenda dhambi makusudi tunawangiza dhambini watu wa Mungu alafu baadae kirahisi rahis mseme at ur own risk nani kasema!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…