Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Unajuaje Mudy alimwacha Bi hadija au Aisha hivi hivi?Mungu wa Kiarabu(Allah) hapendi binadamu apate raha au burudani.Mzee Yusuph yeye alishurutishwa na nani kuacha burudani?? Kama anamwacha mkewe kwa sababu ambazo hazina msingi aone jinsi mwanamke huyo atakavyogombewa kama mpira wa kona,kabla hata hajaandika hata talaka yenyewe watu watajibebea mzigo kiulaini na kuuficha ndani.Halafu aone atakavyoanza kuweweseka.
Jambo usilojua ni usiku wa giza mkuu.