Makubaliano yapi? Yaani wewe, umekutana na mwanamke, umepiga kazi, umemwagia ndani kwa hiari yako...tena hukuuliza hata kama yuko kwenye tarehe mbaya au la..sasa unataka makubaliano gani zaidi ya hayo.Sometimes mistake za dada/mama ZETU kubeba mimba bila makubaliano kamili ndio matokeo ya hiv vtu.
🤣🤣🤣🤣 Aise balaa kwa hiyo yule mama alimbambikia mtoto mume wake.Huyo kijana apambane tu kutafuta maisha yake! Kama baba hamtaki sio mwisho wa maisha.
Sio kila anayepanda anatarajia kuvuna, mwingine anatupa tu mbegu hana mpango na mavuno. Wanaume, mmmhhh!
Wapuuzi sana hawa wanawake. Yaani hawanaga ufikirio kabisa. Ah mie naona mwanamke anayebeba mimba bila ndoa tuchinje tuuSometimes mistake za dada/mama ZETU kubeba mimba bila makubaliano kamili ndio matokeo ya hiv vtu.
dini yake inasema mtoto wa nje ya ndoa siyo mtoto wake ni wa mwanamke.aidha Yusuph ameongeza kuwa kama akikuta mtoto huyo ni damu yake atamfikilia kama aendelee kumlea au aachane naye kwani dini yake inasema mtoto wa nje ya ndoa siyo mtoto wake ni wa mwanamke.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nlimwina utube yusuph achutame dogo anamfanana sanaKijana mmoja aliyejitambulisha kwa majina ya Ahmad Yusuph Mzee, amejitokeza hadharani katika studio za Wasafi Media akidai kwamba yeye ni mtoto wa mzee Yusuph wa damu kabisa ambapo anasema kwamba mama yake ambaye ni Marehemu kwa sasa alipewa ujauzito na Mzee Yusuph wakati alipokuwa akihudumu kama MC kwenye moja ya kumbi iliyokuwa huko Mbagala miaka ya 2002.
Ahmad anasema awali alikuwa akiishi na mama yake pamoja na mume wa mama yake ambaye awali alikuwa anamtambua kama baba yake mzazi, lakini kabla mama yake hajafariki alimweleza ukweli kwamba hakua baba yake wa kumzaa bali baba yake ni Mzee Yusuph ambaye ndiye huyu muimba taarabu.
Ahmad amesema licha ya kwamba anatambua kama Mzee ana mali za kutosha na ni mtu maarufu, yeye kipaumbele chake anataka wakapime DNA ajiridhishe kama kweli Mzee Yusuph ni baba yake mzazi ili awe na faraja pamoja na amani ya kujihisi yupo salama duniani kwani kwa maisha anayoishi sasa ni kwamba hana baba wala mama, maisha ambayo ni hatari na siyo kwamba anamtafuta ili apate upenyo wa kurithi mali.
Kwa upande wa Mzee Yusuph licha ya kufanana na mtoto huyo kuanzia Mapua, Mdomo, Mashavu, kichwa mpaka rangi ya meno na ngozi. Bila aibu Mzee amesema hamtambui kijana huyo kama mtoto wake na hana kumbukumbu kama aliwahi kucheza michezo ya hasara huko Mbagala kiasi cha kumpatia mwanamke ujauzito.
Awali Mzee Yusuph alikataa kabisa kupima DNA lakini baadae baada ya kushinikizwa alikubali kwenda kupima DNA lakini kwa masharti mazito, ambapo amesema kijana huyo akitaka wakapime DNA pesa ya vipimo aitafute mwenyewe kijana na andapo atakuta siyo mtoto wake basi hatua kali za kisheria za uzalilishaji zitachukuliwa dhidi yake, aidha Yusuph ameongeza kuwa kama akikuta mtoto huyo ni damu yake atamfikilia kama aendelee kumlea au aachane naye kwani dini yake inasema mtoto wa nje ya ndoa siyo mtoto wake ni wa mwanamke.
View attachment 2660998
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mzee akitoka jukwaan miaka ileeeee wadada wote huwa wameloa akipoint mmoja wala hawajiulizi mara 2ni kwenda kukinukisha tuSometimes mistake za dada/mama ZETU kubeba mimba bila makubaliano kamili ndio matokeo ya hiv vtu.
Nchi hii haifuati sheria za dini bali ina sheria zake zilizotungwa na bunge hivyo asijidanganye.aidha Yusuph ameongeza kuwa kama akikuta mtoto huyo ni damu yake atamfikilia kama aendelee kumlea au aachane naye kwani dini yake inasema mtoto wa nje ya ndoa siyo mtoto wake ni wa mwanamke.
Sent using Jamii Forums mobile app
aidha Yusuph ameongeza kuwa kama akikuta mtoto huyo ni damu yake atamfikilia kama aendelee kumlea au aachane naye kwani dini yake inasema mtoto wa nje ya ndoa siyo mtoto wake ni wa mwanamke.Kupima DNA hapo ni kupoteza tu muda na fedha. Mzee Yusuph aache mbambamba. Huyu mtoto ni damu yake.
Maskiniaidha Yusuph ameongeza kuwa kama akikuta mtoto huyo ni damu yake atamfikilia kama aendelee kumlea au aachane naye kwani dini yake inasema mtoto wa nje ya ndoa siyo mtoto wake ni wa mwanamke.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufanana tu haitoshi kuwa conclusive lazima kuwepo na ushahidi mwingine wa kuthibitisha.Nlimwina utube yusuph achutame dogo anamfanana sana
Hivi mzee akitoka jukwaan miaka ileeeee wadada wote huwa wameloa[emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956]Hivi mzee akitoka jukwaan miaka ileeeee wadada wote huwa wameloa akipoint mmoja wala hawajiulizi mara 2ni kwenda kukinukisha tu