Mzee Yusuph: Maisha yangu yamekuwa magumu baada ya kuacha muziki

Kila la kheri mziki wako walikuwa wanajaa akina kaka poa na kufanya maasi ALLAH AKUJAALIE KHERI
 
Kila atakaekunifuata, ajikane mwenyewe, aubebe msalaba wake anifuate..

Itamfaidia nini mtu akiupata ulimwengu wote akaukosa uzima wa milele na nafsi yake kupotea?

Hayo ni maneno ya kwenye Biblia
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Hana iman huyo haoni hizo ni mitihani za mung?au anataka kurudia tena muzik
 
Thawabu yako iko hayo ni mapito tutaacha vyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…