Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,010
- 4,083
Ana uhakika atakuwepo akirejea?Yaani anatwambia kijana wake atarudi, tusihamaki!
Haha Kweli machizi uzeeka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana uhakika atakuwepo akirejea?Yaani anatwambia kijana wake atarudi, tusihamaki!
Anajiaminia nini lakini!!Kila zama na kitabu chake, zama zake zimeisha.
Inabidi mumchunge asipate muda wa kufungua mikoba!!Lakini mzee chondr chonde, usitumie mfaraka na makopela, chonde chonde, wale kuku wa manyoya mcharuko usinunue, ukinunua tu, tunapiga simu kwa mama
Wale kuku wanaitwa njachama, kazi yake ni ni kufarakanisha.Lakini mzee chondr chonde, usitumie mfaraka na makopela, chonde chonde, wale kuku wa manyoya mcharuko usinunue, ukinunua tu, tunapiga simu kwa mama
Mimi sina neno ndugu yangu ,ndio maana unaona nipo kimya kwa sababu kama sina neno huwa siongei hata kama nikipewa nafasi ya kuongea. Mengi yamezungumzwa na wengine, ambapo mimi sioni sababu ya kuzungumza Mengine tena.
Kwahiyo utamlazimisha hata kama amehemewa?Mimi sina neno ndugu yangu ,ndio maana unaona nipo kimya kwa sababu kama sina neno huwa siongei hata kama nikipewa nafasi ya kuongea .Mengi yamezungumzwa na mimi sioni sababu ya kuzungumza Mengine .
Kazi ni kipimo cha utu.
Kazi iendelee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
...... ndo maana adimu sana!Wale kuku wanaitwa njachama, kazi yake ni ni kufarakanisha.
Lucas ongea na Mzee, inaonyesha anaweza kukusaidia!!Mimi sina neno ndugu yangu ,ndio maana unaona nipo kimya kwa sababu kama sina neno huwa siongei hata kama nikipewa nafasi ya kuongea. Mengi yamezungumzwa na mimi sioni sababu ya kuzungumza Mengine.
Kazi ni kipimo cha utu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwani wewe nani kakwambia kuwa hutakufa? Kwa taarifa yako ni kuwa Hata wewe utakufa tu siku moja. Tujifunze kuheshimu mitizamo ya wengine hata kama hatukubaliani nayo au kuiunga mkono.Siku hili zee la hovyo likifwariki itakua sherehe na dhihaka itakua sana bahati mbaya sana halitokua linasikia
Kunisaidia kufanya nini ndugu yangu mtanzania.Lucas ongea na Mzee, inaonyesha anaweza kukusaidia!!
Kupata uenezi hata wa mkoa !!Kunisaidia kufanya nini ndugu yangu mtanzania.
Unataka Lucas achie ujui wa Taasisi nyeti awe mwenezi wa Mkoa😂Kupata uenezi hata wa mkoa !!
Uenezi wangu nafanyia hapa hapa jukwaani kwa moyo safi na wa hiyari na kwa kujitolea bure kabisa kwa moyo wa uzalendo ,kutokana na kuwa na imani na CCM, serikali yake,Rais wetu na dhamira njema kwa kwa Taifa langu.Kupata uenezi hata wa mkoa !!
Najua sana, Si unajua tena JF!!Unataka Lucas achie ujui wa Taasisi nyeti awe mwenezi wa Mkoa😂
Lucas Ni Yeye kuingia Bungeni tu akatetee wanyonge
Hahah Jamaa anawachoraga sana wasiomjua 😂Najua sana, Si unajua tena JF!!
Ninachofurahia saiz Yale mambo ya makada kuteuliwa sifa kuu ikiwa n.i kutukana WAPINZANI yanaenda yanapungua.Hahah Jamaa anawachoraga sana wasiomjua 😂
Ila Yote kwa Yote Lucas ni Kada mtiifu🙏🙏🚸🚓
Mawaziri wenyewe waliotumbuliwa Wameshindwa kushukuru nafasi waluzotumikia ndio huyu babu aje kuwasemea?Salaam Shalom!!
Mzee wetu ameibuka na Kutoa Pongezi kedekede Kwa Mh Rais Samia Suluhu Hassan Kwa uamuzi mzuri aliofanya kuwabadili baadhi ya mawaziri, mtoto wake akiwemo.
Amemfananisha Rais na Coach jinsi anavyobadili kikosi, Nia ni ushindi.
Ameenda mbali na kuwapongeza waliotumbuliwa akidai pia wanastahili Pongezi Kwa kuwa wamemsaidia Rais Kwa muda waliokuwa mamlakani.
Itoshe kusema kuwa, Mzee huyu naye ni MMOJA wa wazee muhimu waliobaki, tuwatumie.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Source: Mahojiano, Wasafi media.
Karibuni 🙏
======
Mwandishi: Mzee Makamba bwana, tumeona mabadiliko ya Baraza la mawaziri!
Makamba: Wewe unashangaa nini?
Mwandishi: Sishangai mzee Makamba, naangalia picha yako unavyoangalia na mheshimiwa Rais anavyoboresha
Makamba: Sawa labda nikwambie mambo mafupi tu! Halooo
Mwandishi: Nakusikia Mzee Makamba
Mzee Yusuph Makamba: Hivi kocha wa Simba akimtoa mchezaji unamlaumu? Mambo mawili yanayoweza kumfanya amtoe mchezaji, mwingine anaweza akawa hana makosa lakini amechoka, pumzi zimeisha lakini pumzi zikirudi anamrudisha tena maana hawa ambao leo wametolewa, walikuwemo wakatoka na wamerudi tena.
Kwahiyo usije ukashangaa tena mwingine akarudi baadae, jambo la kawaida tu. Nasema Rais ni kocha, kazi ya kocha ni kuhakikisha kwamba magoli yanafungwa.
Kwahiyo anatazama, je katika kipindi hiki nani mchezaji bora kuliko mwingine anamchukua na hawa anawapumzisha.
Kwahiyo tunampongeza Rais kwa uteuzi alioufanya, tunawapongeza walioteuliwa na tunawapongeza na hata hawa wameondolewa, wanapaswa kushukuru maana si walikuwemo?