abeidmalik
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 272
- 93
Hajui Kama Uislam ulianzishwa na Roman Catholic!Dini ukikolea hugeuka uchizi
Dini yoyote ikizidi huzaa kichaaHajui Kama Uislam ulianzishwa na Roman Catholic!
Kweli kabisaAngeokoka ndo ningejua kamrudia Mungu.
Taratibu mfalme wetu kawa chiziDini ukikolea hugeuka uchizi
mh ha haMashehe wanamdanganya huyo ili afirisike
Ni mbaya kuvaa mavazi ya imani ambayo siyo yako. Kiufupi ni unafiki tukuna mmoja kapiga picha na sheikh wa Dar kavaa kama Mfalme wa Doha nae amrudie Mungu tafadhai maana ni msanii balaa
si kaokoka, utaokoka vipi kama huna dhambi, sasa huyu ndio kaokoka sasaHuyu katenda dhambi sana
1:Mchawi na mshirikina jamaa ameloga watu sana
2:Umalaya na uzinzi
pointThe biggest sin ever is using the church WIFI to download porn.