Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,175
- 4,299
Ndugu Leo tuongee kidogo kuhusu maisha yetu halisi hapa tujiseme, tujitukane hii italeta taswira mpya kamasio sisi basi hata uzao wetu huenda ukawa Bora.
Sisi n hatupendi kufanya kazi lakini tunataka tuwe napesa mfukoni je tutazipata vipi bila kufanya kazi tena sio kufanya kazi tuu bali n kwa kujituma sana je hyo spirit tunayo?
N watu wa kulaumu kila kitu serikali ifanye Ila tunasahau kuwa serikali n watu na watu ndo sisi yaan tunapenda kufanyiwa sasa Kama hukufanya wewe unahisi utapata kile unachostahili ndo mana mtu mvivu na mzembe kulalamika hakutamuisha kamwe eti unategemea Chama Cha siasa ndo kikuletee urahisi wa Mambo yako thubutu hilo haliwezekani, urahisi wa Mambo yako unafanyanywa na pesa na ili uwe na pesa lazima ufanye kazi na ujitume.
Unakuta kijana au hata mtu mzima kapata kazi analipwa vizuri tuu badala ya kusave pesa yeye ndo kwanza anawaza kunywa pombe na pizi Kali, kununua Gari la kustarehe, hujaoa unapanga nyumba nzima eti uishi ki single boy unaacha kuishi kibachela matokeo yake baadae tunaanza kulalamika hoo Kodi nyingi mshahara hautoshi Yan full kulalamika tunasahau kuwa pesa uletwa na pesa Kama huna pesa tumia akili kupata pesa pia tambua akili huishiwa maarifa hvyo n muhimu ukiwa na pesa tumia pesa kupata pesa nasio kutumia pesa kupata vitu.
Uwezo wa kufikiria
Hii kiukweli sisi Ma-slowlearn yan tunachelewa kujua vitu na hatuwezi kujenga hoja kabisa mfano Tanzania insvyuo vikuu zaidi ya 15 na kila chuo kinatoa wahitimu zaidi ya 200 kila mwaka Sasa jiulize kweli wataalamu wetu wameshindwa kutoa elimu jamii kuhusu KATIBA au CHANJO YA KORONA na kuwaacha wanasiasa watoe hyo elimu.
Mpaka Leo kijana anajitimu chuo kikuu hajui anaenda mtaani kuwa Nani kweli?
Mwanao anatakiwa kwenda chuo kikuu na hawezi kujaza fomu za elimu ya juu wazazi mnashinikiza au mnalipa watu wasasaidie watoto wenu jinsi ya kujaza fomu kweli?
Angalia elimu ya muhindi anasomea kweli na kazi anafanya kweli Sasa wewe mtanzania mwenzangu umesoma lakini hujaelimika bado unajua kesho n siku ya kazi unaenda kulewa mpaka saa sita usiku asubuh unafika kaxin sas nne na misamaha kibao unafikiri muhindi au boss wako atakulipa vizuri? Kwanini usiseme anakunyanyasa?
TUJIFUNZE JINSI YA KUJIANDAA NA KUPANGILIA MAMBO YETU.
- Wewe n kijana unasoma basi jiulize au ulizia kwa wanaojua hicho unachosoma kina faida gani kwenye jamii na je unakiweza au unasoma kutimiza wajibu?
- Umepata kazi jifunze jinsi yakuwa mbunifu kazini tena ikibidi siku ya holiday omba jitolee kufanya kazi ofisini kwako bila malipo pia ukipata pesa punguza matumizi ya kijinga iga wahindi au watanzania wenzio WACHAGA mana hawa pia wameiga au wamefundishwa kuishi Kama WAHINDI.
usitegemee mwanasiasa akuletee urahisi wa maisha yako kila kibiashara Ina mtaji na mtaji wa mwanasiasa Ni mtu ambae hajielewi.
Tengeneza pesa, omba MUNGU akupe afya njema, heshimu watu hayo mengine yakatiba, korona, chadema, CCM yote utaona yanakupotezea muda tuu.
Karibu kilingeni.
Sisi n hatupendi kufanya kazi lakini tunataka tuwe napesa mfukoni je tutazipata vipi bila kufanya kazi tena sio kufanya kazi tuu bali n kwa kujituma sana je hyo spirit tunayo?
N watu wa kulaumu kila kitu serikali ifanye Ila tunasahau kuwa serikali n watu na watu ndo sisi yaan tunapenda kufanyiwa sasa Kama hukufanya wewe unahisi utapata kile unachostahili ndo mana mtu mvivu na mzembe kulalamika hakutamuisha kamwe eti unategemea Chama Cha siasa ndo kikuletee urahisi wa Mambo yako thubutu hilo haliwezekani, urahisi wa Mambo yako unafanyanywa na pesa na ili uwe na pesa lazima ufanye kazi na ujitume.
Unakuta kijana au hata mtu mzima kapata kazi analipwa vizuri tuu badala ya kusave pesa yeye ndo kwanza anawaza kunywa pombe na pizi Kali, kununua Gari la kustarehe, hujaoa unapanga nyumba nzima eti uishi ki single boy unaacha kuishi kibachela matokeo yake baadae tunaanza kulalamika hoo Kodi nyingi mshahara hautoshi Yan full kulalamika tunasahau kuwa pesa uletwa na pesa Kama huna pesa tumia akili kupata pesa pia tambua akili huishiwa maarifa hvyo n muhimu ukiwa na pesa tumia pesa kupata pesa nasio kutumia pesa kupata vitu.
Uwezo wa kufikiria
Hii kiukweli sisi Ma-slowlearn yan tunachelewa kujua vitu na hatuwezi kujenga hoja kabisa mfano Tanzania insvyuo vikuu zaidi ya 15 na kila chuo kinatoa wahitimu zaidi ya 200 kila mwaka Sasa jiulize kweli wataalamu wetu wameshindwa kutoa elimu jamii kuhusu KATIBA au CHANJO YA KORONA na kuwaacha wanasiasa watoe hyo elimu.
Mpaka Leo kijana anajitimu chuo kikuu hajui anaenda mtaani kuwa Nani kweli?
Mwanao anatakiwa kwenda chuo kikuu na hawezi kujaza fomu za elimu ya juu wazazi mnashinikiza au mnalipa watu wasasaidie watoto wenu jinsi ya kujaza fomu kweli?
Angalia elimu ya muhindi anasomea kweli na kazi anafanya kweli Sasa wewe mtanzania mwenzangu umesoma lakini hujaelimika bado unajua kesho n siku ya kazi unaenda kulewa mpaka saa sita usiku asubuh unafika kaxin sas nne na misamaha kibao unafikiri muhindi au boss wako atakulipa vizuri? Kwanini usiseme anakunyanyasa?
TUJIFUNZE JINSI YA KUJIANDAA NA KUPANGILIA MAMBO YETU.
- Wewe n kijana unasoma basi jiulize au ulizia kwa wanaojua hicho unachosoma kina faida gani kwenye jamii na je unakiweza au unasoma kutimiza wajibu?
- Umepata kazi jifunze jinsi yakuwa mbunifu kazini tena ikibidi siku ya holiday omba jitolee kufanya kazi ofisini kwako bila malipo pia ukipata pesa punguza matumizi ya kijinga iga wahindi au watanzania wenzio WACHAGA mana hawa pia wameiga au wamefundishwa kuishi Kama WAHINDI.
usitegemee mwanasiasa akuletee urahisi wa maisha yako kila kibiashara Ina mtaji na mtaji wa mwanasiasa Ni mtu ambae hajielewi.
Tengeneza pesa, omba MUNGU akupe afya njema, heshimu watu hayo mengine yakatiba, korona, chadema, CCM yote utaona yanakupotezea muda tuu.
Karibu kilingeni.