Mkuuu kuna watu wanapambana sana kufanya kazi kweli kweli lakini ofisi nyingi hazithamini hasa serikali yetu.Binafsi mm niliamua kujituma kweli kweli kwenye kazi yangu ya ualimu ,nafundisha hisabati mazingira yenyewe yakijijini ,unafundisha mda wote inatumika hadi wekend,unatoka kazini saaa 12 ili wanafunzi waweze hisabu.
Unaangaika kila mwaka upate A na B za hesabu kwa kujila kweli kweli lakini no motisha na asante ,yaani akili yako myingi unaiwekeza kwenye kazi za watu wewe unasubiri ukistaafu ndoo ujenge kwasababu salary ni kidogo.
Sasa nikaamua kuwa kama wengne ambao akili yao muda mwingi wanawaza ya kwao na wanafelisha kweli kwenye masomo yao,mambo yamebadilika kwangu angalau lakini kazini kumekwama hakuna cha A wala B.