Mzigo wa Starlink Rwanda

Mzigo wa Starlink Rwanda

Kwa Hio kifurushi cha 1000 ama 2000 utasaidiwa kupunguza bei na Starlink?
Mkuu sio hivyo😂.

Naongelra wale wanaotumia bando la kuanzia laki kwa mwezi.

Mfano Sasa kama utalipa Dollar 45 kama Rwanda kwa mfano sasa na TZS 106k kwa mwezi halafu mnatumia zaidi ya watu 10 nyumbani, unlimited.

Kwa wale tunaotumia bando la elfu 10 kwa mwezi haituhusu sana ingawa kutokana na ushindani kutakua na mabadiliko kidogo kutoka kwenye hii mitandao yetu.
 
watakwambia"hoo Rwanda ni nchi ndogo kama wilaya ya Kinondoni ndo maana inapiga hatua".huu ni utetezi wa kijinga sana huwa unatolewa na wajinga.
 
Kabisa.

Hata kama una taasisi ay kampuni ipo porini au nje sana ya mji na haina connection ya internet ya uhakika unaweza weka starlink.

Mradi biashara yako iweze ku-cover hiyo monthly subs fee.
Naona kama itafaa sana kwa internet cafe ambayo mtu hata anaweza kuja na PC yake au simu yake akadownload na kuperuzi atakavyo. Hizi internet cafe zimezoeleka zinalimit mtu kupakua.
 
Naona kama itafaa sana kwa internet cafe ambayo mtu hata anaweza kuja na PC yake au simu yake akadownload na kuperuzi atakavyo. Hizi internet cafe zimezoeleka zinalimit mtu kupakua.
Starlink ina 1TB data Cap, so ukiruhusu wazee wa kushusha movie inaweza kula kwako.
 
Kumbe. Nikajua ni unlimited hasa.
IT per month.

Ukimaliza 1T per month utauziwa 1GB kwa TZS 585.

Still the best choice. Kwa sasa Tanzania tunanunua GB moja kutoka mitandao ya simu kwa TZS 2100. kwa 1TB itakua 2100x1,024=2,150,400.

Starlink 1T kwa mwezi ni elfu 88.

Mimi binafsi I will buy it.
 
Tech haijawahi kudanganya.


Wacha hawa walima mihogo hapa watabana mwisho wataachia tu.
 
Starlink siyo cheap kama watu wengi wanavyodhani hapa . Starlink haipo ku compete na hii mitandao tuliyozoea , lengo lao ni kwenda remote areas ambapo hii mitandao mingine haijawekeza.

This is the reason wateja wa starlink ni wachache sana duniani , wachache mno hata market share yake duniani ni ndogo sana tena sana haifiki hata 10% . Hii inaonesha hata huko kwao kama USA watu wengi hawaitumii.
 
Starlink siyo cheap kama watu wengi wanavyodhani hapa . Starlink haipo ku compete na hii mitandao tuliyozoea , lengo lao ni kwenda remote areas ambapo hii mitandao mingine haijawekeza.

This is the reason wateja wa starlink ni wachache sana duniani , wachache mno hata market share yake duniani ni ndogo sana tena sana haifiki hata 10% . Hii inaonesha hata huko kwao kama USA watu wengi hawaitumii.
Nailed it...[emoji1756]
 
Starlink siyo cheap kama watu wengi wanavyodhani hapa . Starlink haipo ku compete na hii mitandao tuliyozoea , lengo lao ni kwenda remote areas ambapo hii mitandao mingine haijawekeza.

This is the reason wateja wa starlink ni wachache sana duniani , wachache mno hata market share yake duniani ni ndogo sana tena sana haifiki hata 10% . Hii inaonesha hata huko kwao kama USA watu wengi hawaitumii.
Hii hadithi umeitoa wapo boss?

Starlink imeanza 2019, miaka 3 iliyopita sasa itakuaje na market share kubwa wakati bado ndio inajitangaza?

Unaweza kuleta ushahidi kwamba Starlink sio cheap compared na hizi mobile operators?

Screenshot_20230225_152051_Chrome.jpg

Hapo Forbes wanasema Marekani Starlink iko mjini ama vijijini?
 
Hii hadithi umeitoa wapo boss?

Starlink imeanza 2019, miaka 3 iliyopita sasa itakuaje na market share kubwa wakati bado ndio inajitangaza?

Unaweza kuleta ushahidi kwamba Starlink sio cheap compared na hizi mobile operators?

View attachment 2529610
Hapo Forbes wanasema Marekani Starlink iko mjini ama vijijini?

Tafuta source mbali mbali nchi mbali mbali angalia cost ya starlink installation na monthly subscription na bundle wanayotoa utaona ilivyo juu. Hapo Rwanda installation ni around 1.3M za kitanzania wakati router za voda hapa nchini ni cheap sana less than 250k Kwa mitandao Mingi na hivi vi router vya voda ni portable unakabeba everywhere Kama simu tu and u can share. Starlink ni dish kulibeba uzunguke nalo ni changamoto.

Fuatilia pia kwenye monthly subscription ttcl wana mpaka package ya 55k, kuna kina zuku zimejaa Kkoo hapo na maofisi mengi wana offer za less than 80k per month kitu ambacho starlink yuko juu mfano Rwanda hapo ni around 120K.

Njoo kwenye hizi bundle za wiki mwezi za hii mitandao yetu ziko chini mtu anajiunga Kwa elf 10 Kwa mwezi anatumia ki bundle chake fresh

Hilo soko lote starlink Kwa Marketing mix yake hawezi ingia maana hafiti popote . Soko lake linabaki maeneo ambayo ni remote au hayajafikiwa na internet ya mkongo (not satellite) ambayo nayo yanaenda yanapungua day after day maana mkongo unasambaa sana.

Na Kwa idea hizi Musk akaona kuna untapped market au ignored market upande wa connectivity ndo akaanzisha low orbit satellite Kwa ajiri ya kusambaza internet maeneo ambayo ni ignored na hii mitandao ya kila siku. Kwa hiyo haji kushindana na hawa internet providers wa kila siku bali ana target maeneo yaliyoachwa.
 
$ 44 mwezi tujipange sana ....wakati kifaa 1.2mil ...nataka kujua kama ni unlimited or bundle inaisha ......nadhani bado bundke telecom zitakuwa nafuu kwa Walio wengi kuweka huku 3 ....nasubiria
 
$ 44 mwezi tujipange sana ....wakati kifaa 1.2mil ...nataka kujua kama ni unlimited or bundle inaisha ......nadhani bado bundke telecom zitakuwa nafuu kwa Walio wengi kuweka huku 3 ....nasubiria

Starlink ni limited ikifika around 1TB inakata unajiunga tena . Mitandao yetu bado iko cheap,
 
Ukweli ni kwamba Starlink inakuja pia Tz, kinachoendelea sasa ni kuchelewesha tu ili kupima (kutathmini) athari zake kiuchumi kwa nchi za kiafrika zinazotuzunguka, lakini huenda kabla ya kwisha mwaka huu Starlink itakuwa hapa Tz.

Tanzania kwa 99% haiwezi kukwepa ujio wa starlink kwa kuwa, ndani ya miaka miwili kutoka sasa zaidi ya 80% ya nchi za Afrika (huku 100% ya nchi zinazopakana na Tz) zitakuwa zimeunganishwa na mtadao wa Starlink, na kwa sababu hiyo Tanzania haiwezi kubakia kuwa kisiwa cha kukwepa teknolojia ya mawasiliano.
Watabana wataachia tu.Huwezi kuzuia maji kwa mikono.
 
Back
Top Bottom