Mzigo wako mbona umekuwa mdogo?

Mzigo wako mbona umekuwa mdogo?

Wasaalam!.
Kutokana na kuwa jobless kulana ndo imekuwa sehem ya kupunguzia mawazo.

Leo ikanibidi nimtafte X wangu mmoja angalau tupashe kiporo, Tukapanga mida ya saa 10 atakuja geto tufanye yetu.

Shetani hakuniangusha saa 10 katimba geto tukaanza kufanya yetu katikati ya mchezo akanambia Mbona siku hizi mzigo wako sio mkubwa kama enzi zile tuko wote? Na umekuwa mweusi sana.😌😌😌

Now nimekaa hapa najiuliza hivi mzigo unaweza kupungua saizi kweli? Au ni yeye amepata bwana mwenye mzigo mkubwa now anaona zote ni ndogo.

Nawasilisha.

Ndiyo mzigo unapungua size kutokana na kukonda au mwenza wako size yake imeongezeka.

=======
Tusisahau kuukataa mkataba wa DP WORLD.
 
NAKATAAAAA
NAKATAAAAA
NAPINGA KWA NGUVU ZOTE NA HATA KAMA KUNA CHANGIZO NIPO RADHI NITOE HATA NIKIFILISIKA, HUU NI UONGO NA HUPASWI KUAMINIWA
Nyeto ni mbaya japo inatuza kibunda. Ila ni mbaya usije sema hukuambiwa
 
Bila picha Mkuu Mimi bado sijaafiki kuchangia hoja inatakiwa picha ya mzigo wake na wako tulinganishe size hahahaha
 
Back
Top Bottom