Mimi mwenyewe kisambaa sikipatipati ila kuna baadhi ya Maneno nayasikiaSikijui halafu nakiona kigumu
Hapana kabisa[emoji1] [emoji1] [emoji1] utakua mmasai basi
Unaweza kuongea?Mim Mzigua , ila Mila za kwetu sizijui.
na mm nasubiri waje wajuzi
Hicho Ndo kirahisi sasa. Nimekaa Korogwe Kwa wasambaa na Bibi zangu upande wa mama ni wasambaa Ndo maana nakisikiaMimi mwenyewe kisambaa sikipatipati ila kuna baadhi ya Maneno nayasikia
Sasa Mimi tanga sijawahi kanyaga kabisaa,advantage yangu ni kuwa nimekijua kwa sababu wazazi wangu wote wazigua halafu home wanaongea kilugha tuHicho Ndo kirahisi sasa. Nimekaa Korogwe Kwa wasambaa na Bibi zangu upande wa mama ni wasambaa Ndo maana nakisikia
we ni mke wanguUanze tuu
Una Bahati. Mimi kizigua sijawahi kukisikia. Kichaga nimekisia hadi basi ila zaidi ya salamu sina ninachokijuaSasa Mimi tanga sijawahi kanyaga kabisaa,advantage yangu ni kuwa nimekijua kwa sababu wazazi wangu wote wazigua halafu home wanaongea kilugha tu
Hahahahaa. Apia?we ni mke wangu
Rafiki bado nakutamani![emoji39][emoji39][emoji39]Unaenda oa uziguani mkuu? Hongera karibu Handeni. Wajuzi watakuja Cc @Ormeta
Lakini sina chura rafikiRafiki bado nakutamani![emoji39][emoji39][emoji39]
Haahaa,nimeishi uchagani Mimi mwenyewe nimeambulia salamu tu...Uchagani makabila yapo mengi kusikia kila kabila ni kazi pevu....Una Bahati. Mimi kizigua sijawahi kukisikia. Kichaga nimekisia hadi basi ila zaidi ya salamu sina ninachokijua
Rafiki siamini unachosema hadi nije kukagua!.....nitasaidiana na dada yangu Sakayo kwenye shughuli hiyo ya ukaguzi!Lakini sina chura rafiki
walahi.Hahahahaa. Apia?
Kichaga kigumu. Mama angu anaongea kichaga kisambaa na kizigua ila Mimi nimeambulia kisambaa tuHaahaa,nimeishi uchagani Mimi mwenyewe nimeambulia salamu tu...Uchagani makabila yapo mengi kusikia kila kabila ni kazi pevu....
Njoo rafikiRafiki siamini unachosema hadi nije kukagua!.....nitasaidiana na dada yangu Sakayo kwenye shughuli hiyo ya ukaguzi!
wewe unatafuta churs si ungeenda taifa juzi jamaa alikuwa anakagua kabla ya gemuRafiki siamini unachosema hadi nije kukagua!.....nitasaidiana na dada yangu Sakayo kwenye shughuli hiyo ya ukaguzi!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]!....Mkuu wasiojulikana wanakuhusu now!wewe unatafuta churs si ungeenda taifa juzi jamaa alikuwa anakagua kabla ya gemu
kisambaa ni kirahisi sikijui ila wakiongea nawaelewa.Kichaga kigumu. Mama angu anaongea kichaga kisambaa na kizigua ila Mimi nimeambulia kisambaa tu
mimi sihusiki.. balaa ni lako mwenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]!....Mkuu wasiojulikana wanakuhusu now!