Aloycedick
New Member
- Feb 16, 2021
- 1
- 0
Watu husema wazigua/wazigula ukikaa vibaya wanakutapel mahari naomben kufaham ukwel na je unakuta unamahusiano na msichana wakizgua alaf apate msiba wa mama/baba alaf badae msichana akutambulishe kwa mzazi wake may be baba je kuna faini zozote utakazopigwa akati hukwenda msibani kumbuka apo awali kabla ya msiba hukutambulishwa kwa wazazi ?