"Mzigua" Au aliyeoa uziguani Afunguke hapa!!!!!

"Mzigua" Au aliyeoa uziguani Afunguke hapa!!!!!

Wazigua wakike (ambao sio 40+ kiumri) ni wasaliti mamalaya ndiyo tabia yao ya asili yani mkipanga kesho mechi alafu usitokee anafanya juhudi mpaka apigwe hata na mwingine alafu ukienda kesho yake unapiga kama kawaida hawanaga uchoyo

Kwa ujumla hali hiyo iko kwa makabila yote kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo, tamaa, kutokujielewa , umaskini, ukosefu wa maisha ya imani, n.k!
Kama kuna kabila ambalo lenyewe wametulia kwa 100% tafadhali litaje kwa nyakati hizi za utandawazi!
Tena unaweza kuja kuona afadhali ya hao wazigua!
 
Kwa ujumla hali hiyo iko kwa makabila yote kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo, tamaa, kutokujielewa , umaskini, ukosefu wa maisha ya imani, n.k!
Kama kuna kabila ambalo lenyewe wametulia kwa 100% tafadhali litaje kwa nyakati hizi za utandawazi!
Tena unaweza kuja kuona afadhali ya hao wazigua!
Ndugu mtanzania uyasemayo ni yakweli kabisa ila wazigua ni asili yao kabisa sijui chimbuko la uzao wao ni kina nani
 
Sifa moja wapo Waliyonayo ni ile ya Kibanga kumpiga mkoloni

Karibu Kidereko kwa watoto watamu

Mmnh?!
Wacha nitunze maoni yako!
Hao ni mfano wa wachache wanaosababisha wanawake wa kizigua waonekane hawajatulia kumbe utulivu au kutotulia ni tabia ya Mtu mwenyewe!
Hali inatisha!
 
Mmnh?!
Wacha nitunze maoni yako!
Hao ni mfano wa wachache wanaosababisha wanawake wa kizigua waonekane hawajatulia kumbe utulivu au kutotulia ni tabia ya Mtu mwenyewe!
Hali inatisha!

I mean wacha nitunze maoni yangu !
Let me reserves my comments!
 
Sifa moja wapo Waliyonayo ni ile ya Kibanga kumpiga mkoloni

Karibu Kidereko kwa watoto watamu

Off course wapo walotulia lakini wapo ambao hawajatulia pia!
Kwa Mgeni akienda pale ningemsihi awe mwangalifu sana la sivyo Mmnh labda Kama naye awe tayari anao!
Hicho kijiji nakijua kipo along barabara ya kwenda Tuliani!
 
Of course kuwa mwangalifu ni popote pale siyo pale tu maana hali ya maambukizi inatisha popote pale nchini!
 
Off course wapo walotulia lakini wapo ambao hawajatulia pia!
Kwa Mgeni akienda pale ningemsihi awe mwangalifu sana la sivyo Mmnh labda Kama naye awe tayari anao!
Hicho kijiji nakijua kipo along barabara ya kwenda Tuliani!
Duh..kuna kadem ka tulian ndo nakatafta je unanshaurije??
 
Duh..kuna kadem ka tulian ndo nakatafta je unanshaurije??

Mmnh siwajui vizuri kwa kweli!
Mwombe Mungu kisha ujisikilizie nafsini mwako Kama unapata amani na kibali cha kumuoa pasipo kujilazimisha na kujidanganya mwenyewe!
 
Mmnh siwajui vizuri kwa kweli!
Mwombe Mungu kisha ujisikilizie nafsini mwako Kama unapata amani na kibali cha kumuoa pasipo kujilazimisha na kujidanganya mwenyewe!
Mkuu asante..ila naona hilo la kujidanganya mwenyewe ni gumu mnooo
 
Sasa napata majibu tofauti nachanganyikiwa...kila ntu kwenye uzi huu anatoa maoni yake kuhusu wazgua...mara wapenda ngono na michepuko..haswa wanawake..legelege..hasa wanaume.. Mwingine kasema wachapakazi na wana tabia Nzuri ...what's is what??? ¿?????!?;?? Cc Mzigua90
 
Sasa napata majibu tofauti nachanganyikiwa...kila ntu kwenye uzi huu anatoa maoni yake kuhusu wazgua...mara wapenda ngono na michepuko..haswa wanawake..legelege..hasa wanaume.. Mwingine kasema wachapakazi na wana tabia Nzuri ...what's is what??? ¿?????!?;?? Cc Mzigua90

Kwa Wastani wako vizuri idara zote buana [emoji3][emoji3][emoji3]
Lakini pia inategemea Huyo unaemfukuzia umemfahamu ktk mazingira gani!
Hiyo nayo inamata wakati mwingine pale mambo mengine yanapobaki Kama yalivyo!
Ukiingia kichwa kichwa vimeo kweli nao wapo pia!
Halafu utakapokuwa tayari mwambie mkapime kwanza Kabla ya yote kama na Wewe umetulia [emoji108]🏻[emoji108]🏻[emoji108]🏻
Maana kanuni ya Mungu ni kumpa Mtu wa kufanana nae (kitabia)!
 
Maana siyo umekazana kutaka kujua Kama mwanamke ametulia Je na Wewe mwenyewe umetulia?
 
Kwa Wastani wako vizuri idara zote buana [emoji3][emoji3][emoji3]
Lakini pia inategemea Huyo unaemfukuzia umemfahamu ktk mazingira gani!
Hiyo nayo inamata wakati mwingine pale mambo mengine yanapobaki Kama yalivyo!
Ukiingia kichwa kichwa vimeo kweli nao wapo pia!
Halafu utakapokuwa tayari mwambie mkapime kwanza Kabla ya yote kama na Wewe umetulia [emoji108]🏻[emoji108]🏻[emoji108]🏻
Maana kanuni ya Mungu ni kumpa Mtu wa kufanana nae (kitabia)!
89% nimetulia ...na ntafanyia ushauri wako kazi haswaa [emoji28]
 
Back
Top Bottom