"Mzigua" Au aliyeoa uziguani Afunguke hapa!!!!!

"Mzigua" Au aliyeoa uziguani Afunguke hapa!!!!!

Kijana wa kiume wa kizigua akishaweza kumiliki nyumba ya fito imeezekwa kwa nyasi(biwi), baiskeli, gobole, shoka na panga. Huyo ameshakua na uwezo wa kuoa.

Wazigua wanapenda sana majina ya kike ya, majabu, mwajabu, masefu, zaitun, habiba nk.

Huu sasa ni udhoefu wangu. Demu wa kizigua hata kama umemuoa, akienda kusalimia kwao kijijini, kama alikua na basha wake lazima atapasha kiporo joto.
Uko sawa mkuu hawa watu nimekaa nao hovyo kabisa mtu anaota kitambi kwenye nyumba ya Udongo ni wavivu alafu wana wivu na maendeleo ya wengine
 
Uko sawa mkuu hawa watu nimekaa nao hovyo kabisa mtu anaota kitambi kwenye nyumba ya Udongo ni wavivu alafu wana wivu na maendeleo ya wengine

Kwa baadhi yao yawezekana lakini kwa wastani mzigua siyo mvivu, anapiga jembe sana tu!
Wakati wa kilimo hukuti Watu nyumbani labda wanafunzi waliotoka shuleni !
Mvivu Tanga ni mdigo, lakini mzigua, Msambaa na mbondei wanapiga kazi
 
Sijakuelewa vizuri , miiko ya kuhusiana
Na nini kwa mfano?
Naomba nielezee kidogo!
Au unamaana kwa mfano Kama kabila lingine akiamua kuoa Mzigua kwama itabidi azingatie mambo gani au?
Namaanisha ukitaka kuoa mzigua uzingatie masuala gani...kuna binti nimemuelewa 99.99%[emoji28]
 
Hapo ndugu umepoteza mada waziguwa hawapo ivyo kama unavyo zani kama ni mtu mwenye huluka yake hata awe nani anafanya hiyo haina kabila
Acha uongo nimekaa vijiji vya Handen kwa wazigua zaidi ya miaka 2,kwa kifupi wanawake wa kizigua hawajui kukataa mwanaume,so jamaa yupo sahihi
 
Acha uongo nimekaa vijiji vya Handen kwa wazigua zaidi ya miaka 2,kwa kifupi wanawake wa kizigua hawajui kukataa mwanaume,so jamaa yupo sahihi
Duh.....so ina maana hata kama ni mke wa ntu kuchepuka ni kama kawaida??
 
Namaanisha ukitaka kuoa mzigua uzingatie masuala gani...kuna binti nimemuelewa 99.99%[emoji28]

Nazani ni ya kawaida tu !
Inaweza kuwa kupeleka barua na Mshenga wako kisha mtapewa muda wa kujibiwa na kupangiwa mahali, ukishatoa mahali utaulizwa harusi ungependa iwe lini kwa mfano n.k
 
Acha uongo nimekaa vijiji vya Handen kwa wazigua zaidi ya miaka 2,kwa kifupi wanawake wa kizigua hawajui kukataa mwanaume,so jamaa yupo sahihi

Mkuu umekaa vijiji gani?
Unajua tunaposema Watu (kabila) wanatabia flani huwa tunaangalia wastani wao (average) au wengi wao (simple majority) wana enenda vipi?!
Na siyo kuangalia mwenendo wa Mtu mmoja mmoja au wachache wana enenda vipi!
Na hii ni kanuni ya kimahesabu kabisa hutumika Kwenye takwimu, sets n.k
Kwa hiyo Kama uliona wachache ambao hawajatulia sikatai lakini hiyo sampuli yako haitoshi kuweza kuthibitisha kuwa wanawake wa kizigua Kwamba wote wako hivyo!
 
Sifa moja wapo Waliyonayo ni ile ya Kibanga kumpiga mkoloni

Karibu Kidereko kwa watoto watamu
 
Sijaerewa hiyo sifa ya "kibanga kumpiga mkolon ..fafanua.
Miaka ya 90's kulikuwa na kitabu shule ya msingi kwenye darasa la tano kinaelezea kisa cha "Kibanga ampiga mkoloni"

Ilo tukio lilitokeaga kweli huko uziguani sehemu moja panaitwa kwachaga
 
A. Miiko yao kuhusu wakwe ni ipi?
B. Wanawaheshimu wakwe kwa kiasi gani?
C. Utamaduni wao kuhusu sherehe za harusi au msiba ni upi?
D.majina yao ya asili ni yapi ? Angalau matatu!!!
Nisaidieni wakuu[emoji651] [emoji651]
Nikadhani ni uzi mwingine kwa ajili ya Mzigua 90
 
Wazigua wakike (ambao sio 40+ kiumri) ni wasaliti mamalaya ndiyo tabia yao ya asili yani mkipanga kesho mechi alafu usitokee anafanya juhudi mpaka apigwe hata na mwingine alafu ukienda kesho yake unapiga kama kawaida hawanaga uchoyo
 
Back
Top Bottom