Pole sanaKichaga kigumu. Mama angu anaongea kichaga kisambaa na kizigua ila Mimi nimeambulia kisambaa tu
Hivi unamjua Muhina?Muhina, Lukindo, Samboni, senkondo...........
daah.. ngoja nimle@mzigua90 then na mm nitaelta mreejesho
sanaaaaa.Hivi unamjua Muhina?
Wasambaa wazuri zaidi kuliko wazigua.kisambaa ni kirahisi sikijui ila wakiongea nawaelewa.
na wazigua mna undugu na wasambaa?
wasambaa wana wasichana wazuri balaa kama wazigua tu ..au macho yangu?
Oouh... siongezi.sanaaaaa.
Mwanamke wa Dar...Ndugu yangu hapa nimetoka kapaaa
nambie mwanaume wa DarMwanamke wa Dar...
Majina ya wazigua bhanaa yakitajwa tu unajuaMuhina, Lukindo, Samboni, senkondo...........
Hahahaha LOLnambie mwanaume wa Dar
Nikupe namba yakedaah.. ngoja nimle@mzigua90 then na mm nitaelta mreejesho
Simjui ila ni jina la ukoo wa bimkubwa Wangu!!Hivi unamjua Muhina?
Anayo mwaka wa pili. KitulizeNikupe namba yake
Uyo kumwaza kabisa hakweleweNdugu yangu hapa nimetoka kapaaa