Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,604
- 20,085
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] babe,unajua we n mkorofi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] babe,unajua we n mkorofi
Hahah sasa ww unaniogopa kwani nilikutumia?Hahahaaa.. usijemuogopa na wewe
Shavu hilo wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] babe,unajua we n mkorofi
Duuh. Shem Hapana. Nitakuathiri kisaikolojia☺️☺️Hebu nitumie na mimi
Sio kukosa uzalendo sababu hata hicho wanachokipata huko wanakileta na kwetu pia...Watu kama nyani ngabu waliozamia huko je wanakosa uzalendo?
Je kila aliyeko USA anakula bata?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera mkuu.. Mungu akujalie katika kila hitaji la kumpendeza yeye.Natafuta pesa mkuu mengine nitakutana nayo baadae..
Keshasema haifai kwa matumizi ya binadamu, mi naiogopa hata usinitumieHahah sasa ww unaniogopa kwani nilikutumia?
Miss chaga ndie anayo.
HujajibuHahahaaa.. usijemuogopa na wewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Duuh. Shem Hapana. Nitakuathiri kisaikolojia[emoji5]️[emoji5]️
Amiin.Hongera mkuu.. Mungu akujalie katika kila hitaji la kumpendeza yeye.
Mmmh. Nipishe mie
DabyHujajibu
Daby or smart911
Yupi upo tayari ikiwa wakiachana Na wapenzi wao Na ikiwa wamebaki wanaume hao tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Haifai kwa matumizi yake. Asiwe msemaje wa wengine.Keshasema haifai kwa matumizi ya binadamu, mi naiogopa hata usinitumie
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Haifai kwa matumizi yake. Asiwe msemaje wa wengine.
Manake mbona inagombaniwa saa kwingine.
Afu snitamfinya yule kwansababu siri za ndani anazivujisha
Shemela kwa kuiweka pic yako hapoMmmh. Nipishe mie
Aisee nimecheka balaaakulikua na party chuoni inafanyika sehemu flani Posta, kufika nikamkuta ex bf wangu yuko na mwanamke ambae nilishasikia wanadate. Jamaa nilikua nampenda bado japo nilimuomba mimi tuachane, basi nilivyoona wamekaa nikaconclude nilichokua nakisikia ni kweli,basi nilianguka chini nikaanza kulia kama msiba mpaka mziki ukazimwa wakijua kuna mtu kafiwa na ukitegemea chuoni watu walikua wananijua jua basi ilikua aibu kesho yake maana nilikua napokea simu za pole kwa msiba kumbe nilikua nalilia mapenz..
Ni mambo ya aibu ujue sema ndo mapenzi tena..Aisee nimecheka balaaa
Ha ha ha ha ha. Shemela Huo ni uchocheziShemela kwa kuiweka pic yako hapo
PM yako leo itaomba pause.