Mzigua90 kikaangoni

Kwani Wasambaa mna wahesabia ktk wavivu?
 
Utegemezi wa vip??
Utegemezi wa kiuchumi..Mwanamke na mwanaume wote wana kipato..Lakini pesa ya mwanamke yake peke yake..Ya mwanaume ya kwake pia..Au mwanamke pesa yake anaitumia kwenye matumizi binafsi ila ya mwanaume ndo itimize mahitaji yote ya kifamilia..Imekaaje kwako??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…