Mzigua90 kikaangoni

Bibi mzigua90

Kuna mahali nimesoma , umesema makabila matatu ambayo huwezi kumshauri mtu aolewe nayo au kuoa wasambaa nimojawapo ya kabila ulilolitaja, nilikuwa naomba uniambie tatizo lao hasa ni nini??

Pleaseeeee
 
Siamini kama umekwepa kaswali kangu hivi hivi.... haya tu.

Kwanini unadhamiria kuwa na mme? Kwsababu ulizaliwa ukakuta huu mfumo upo au! Nini hasa kinakusukuma kudhamiria kuolewa
Nitaolewa sababu ni utamaduni
 
Sasa bby unataka tugawane nusu kwa nusu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…