Hii kitu imenigusa moyooni..!kulikua na party chuoni inafanyika sehemu flani Posta, kufika nikamkuta ex bf wangu yuko na mwanamke ambae nilishasikia wanadate. Jamaa nilikua nampenda bado japo nilimuomba mimi tuachane, basi nilivyoona wamekaa nikaconclude nilichokua nakisikia ni kweli,basi nilianguka chini nikaanza kulia kama msiba mpaka mziki ukazimwa wakijua kuna mtu kafiwa na ukitegemea chuoni watu walikua wananijua jua basi ilikua aibu kesho yake maana nilikua napokea simu za pole kwa msiba kumbe nilikua nalilia mapenz..
Mbona wasambaa mimi napenda kuwaona kama wachaga? Nawapenda wasambaa wako proud mnoo na kabila lao na waahustle mnoo ujue?? Au nao wasambaa wako na ranks?Wengi wao huwa hawawazi maendeleo..
Babu yako kafika mjukuu.....[emoji15] [emoji15] [emoji15] siyo kwa penzi hilo my Bibi, ama kweli huko tanga na ninavyomjua babu yangu yule kwa kupenda mautamu utamu Kwisha habari ykeee....
Cha msingi hapa nikusubiri nyongeza ya wa Jomba[emoji124] [emoji124]
Kwanini mkuu?
[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] nimekuwq kipofu sioni ulichoandika[emoji12]Babu yako kafika mjukuu.....
Kidogo siku hizi wanapambana na wao.. katika makabila ya Tanga wasambaa ndo wanapambana japo hawanaga maendeleo sijui hela zao wanapelekaga wapi..Mbona wasambaa mimi napenda kuwaona kama wachaga? Nawapenda wasambaa wako proud mnoo na kabila lao na waahustle mnoo ujue?? Au nao wasambaa wako na ranks?
Madame S
[emoji23] [emoji23] [emoji23]. Itabidi mjukuu nikutafutie kungwi akucheze uwe unawashika babu zangu kama mimi nilivyomshika babu yako...[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] nimekuwq kipofu sioni ulichoandika[emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nini kimekufanya uconclude hivyo mkuu?? Anyway ni mawazo yako sio msahafu kwamba uko sahihi..Nimekusoma kote nikaelewa na tabia yako.
Una tabia ya kibabe
Hujui kuongea i.e huna kauli nzuri
Una mawazo na hadhi ya ki-tom boy
Una haiba ya kimalaya (samahani nimetumia lugha ngumu)
MAWAZO YANGU
utapata na mtoto wa pili na watatu baba tofauti...
Ukiendelea hivyo na mume utamkosa utakuwa shankupe kama hutabadilika
Embu jifunze tabia nzuri maana naona umalaya unauendeleza sana mwisho hakuna mwanaume atakutamani utakuja kulia kama jini kabula
Huko me sifaham maa, napenda tu hustle zaoKidogo siku hizi wanapambana na wao.. katika makabila ya Tanga wasambaa ndo wanapambana japo hawanaga maendeleo sijui hela zao wanapelekaga wapi..
mmh!!!Nimekusoma kote nikaelewa na tabia yako.
Una tabia ya kibabe
Hujui kuongea i.e huna kauli nzuri
Una mawazo na hadhi ya ki-tom boy
Una haiba ya kimalaya (samahani nimetumia lugha ngumu)
MAWAZO YANGU
utapata na mtoto wa pili na watatu baba tofauti...
Ukiendelea hivyo na mume utamkosa utakuwa shankupe kama hutabadilika
Embu jifunze tabia nzuri maana naona umalaya unauendeleza sana mwisho hakuna mwanaume atakutamani utakuja kulia kama jini kabula
Leo sijui ninekupenda zaidi. Nimependa unavyowajibu wanaokuchukulia negative.Nini kimekufanya uconclude hivyo mkuu?? Anyway ni mawazo yako sio msahafu kwamba uko sahihi..
Unanipenda zaidi kila siku bby sema leo umepata sababu tuya kufunguka...Leo sijui ninekupenda zaidi. Nimependa unavyowajibu wanaokuchukulia negative.
Dunia sinia mama kila mmoja anapakua anachoweza. [emoji8][emoji8]
Sasa baby hiyo laki saba yote unaipeleka wapi??...Au ndo unaenda kujenga kwenu,?Sasa bby unataka tugawane nusu kwa nusu?
Nakupenda pia loveLeo sijui ninekupenda zaidi. Nimependa unavyowajibu wanaokuchukulia negative.
Dunia sinia mama kila mmoja anapakua anachoweza. [emoji8][emoji8]
Nina uchaga ujue... kujenga kwetu muhimuSasa baby hiyo laki saba yote unaipeleka wapi??...Au ndo unaenda kujenga kwenu,?
Duuh...Sijui nikupe poleNiliachana rasmi na bf wangu, nikamrudia tena huyo jamaa ndo nikapata na mtoto kiranga kikaniisha basi hatukurudia tena.
[emoji6][emoji6]Nakupenda pia love
Unanimaliza ujueMara kibao..