Mazoezi sifanyi, kitambi sijui kama kipo au la, wanaonijua watanisaidia kujibu...we kimbia swali tu.... nimekuuliza unafanya mazoezi au unakitambi?.... au nichague mwenyewe jibu sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna.. labda wanitoe wenyewe ila mi sitoki humu.
Napenda the way anaandika..
Yapo na hayana dalili ya kutolewa, nimeyapanga kuwapatia nyerere kaburiniMzigua Marinda yapo au yamedaliziwaa
1. Alijitambua1)yule bwana aliyekupa ujauzito akatokomea kukupa matunzo kipindi cha ujauzito vipi alijitambua akaja kutekeleza jukumu lake la matunzo?
2)mtoto ulishajifungua?
3)kama ulishajifungua jamaa anakupa matunzo au ndio umekuwa single mama?
-Ndumilakuwili-
Yapo na hayana dalili ya kutolewa, nimeyapanga kuwapatia nyerere kaburini
Safi kwa majibu mazuri na hongera kwa kupata mtoto.1. Alijitambua
2. Nilishajifungua na ana miezi 10 now
3. Niko single mom tunalea tu mtoto wetu ila hakuna kingine kilichobaki kati yetu.
kulikua na party chuoni inafanyika sehemu flani Posta, kufika nikamkuta ex bf wangu yuko na mwanamke ambae nilishasikia wanadate. Jamaa nilikua nampenda bado japo nilimuomba mimi tuachane, basi nilivyoona wamekaa nikaconclude nilichokua nakisikia ni kweli,basi nilianguka chini nikaanza kulia kama msiba mpaka mziki ukazimwa wakijua kuna mtu kafiwa na ukitegemea chuoni watu walikua wananijua jua basi ilikua aibu kesho yake maana nilikua napokea simu za pole kwa msiba kumbe nilikua nalilia mapenz..
Nini hukufutia kwa manHakuna.. labda wanitoe wenyewe ila mi sitoki humu.
Mama, ndo amenilea toka nikiwa mdogo. Baba alikuja wakati mama ameshahangaika sana na mimi.
kaburini????Yapo na hayana dalili ya kutolewa, nimeyapanga kuwapatia nyerere kaburini
Nashukuru Mkuu..Safi kwa majibu mazuri na hongera kwa kupata mtoto.
-Ndumilakuwili-
mmh kanisa au discoMama, ndo amenilea toka nikiwa mdogo. Baba alikuja wakati mama ameshahangaika sana na mimi.