Mzigua90 kikaangoni

Mzigua90 kikaangoni

Nimekusoma kote nikaelewa na tabia yako.

Una tabia ya kibabe

Hujui kuongea i.e huna kauli nzuri

Una mawazo na hadhi ya ki-tom boy

Una haiba ya kimalaya (samahani nimetumia lugha ngumu)

MAWAZO YANGU

utapata na mtoto wa pili na watatu baba tofauti...

Ukiendelea hivyo na mume utamkosa utakuwa shankupe kama hutabadilika

Embu jifunze tabia nzuri maana naona umalaya unauendeleza sana mwisho hakuna mwanaume atakutamani utakuja kulia kama jini kabula
 
Nilimpeleka ukweni akakataa kurudi eti mpaka aone kibao cha kwaheri.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] siyo kwa penzi hilo my Bibi, ama kweli huko tanga na ninavyomjua babu yangu yule kwa kupenda mautamu utamu Kwisha habari ykeee....
Cha msingi hapa nikusubiri nyongeza ya wa Jomba[emoji124] [emoji124]
 
Back
Top Bottom