Mziki wa CHADEMA bado ni mzito sana kwa CCM

Mziki wa CHADEMA bado ni mzito sana kwa CCM

Chief Ortambo Ikumenye

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2017
Posts
247
Reaction score
503
Hiki chama hakijawahi kuwa na shughuli ndogo kwenye chaguzi. Huwa wanaupiga mwingi sana. Na ukweli tu wananchi wengi bado tuna tumaini na hiki chama kama chama pekee cha upinzani Tanzania.

Mwaka 2020 Magufuli na umwamba wake wote alipelekewa moto mkali sana na Tundu Lissu. Sasa kama Magufuli na umafia wake wote na support ya wanyonge Tanzania lakini ilifika mahali alipiga mpaka magoti.

Je, kwa Samia itakuwaje? Halafu na hao wabunge wa CCM huko bungeni walioshindwa kazi????

Patakuwa hapato, 2025 kutakuwa na balaa kubwa sanaaaaaa...
 
Magufuri alivyotubana chadema tukawa Ni kila sehemu huongei ye ni jela tu,,

Lakini alivyokuja kupigwa ndoige na lissu, mbona aliomba half time kilazima na lissu kupitia nec, hata kwenda mtwara akaona atahaibika tu.

Huyu mama Ni mwepesi kuliko pamba kwa chadema
 
Hiki chama hakijawahi kuwa na shughuli ndogo kwenye chaguzi. Huwa wanaupiga mwingi sana. Na ukweli tu wananchi wengi bado tuna tumaini na hiki chama kama chama pekee cha upinzani Tanzania.

Mwaka 2020 Magufuli na umwamba wake wote alipelekewa moto mkali sana na Tundu Lissu. Sasa kama Magufuli na umafia wake wote na support ya wanyonge Tanzania lakini ilifika mahali alipiga mpaka magoti.

Je, kwa Samia itakuwaje? Halafu na hao wabunge wa CCM huko bungeni walioshindwa kazi????

Patakuwa hapato, 2025 kutakuwa na balaa kubwa sanaaaaaa...

Kwa katiba na tume hii, ni mtu mjinga tu atasimama kwenye mstari wa kura kupoteza muda wake.
 
Back
Top Bottom