Pre GE2025 Mzimu wa Msigwa waitesa CHADEMA hofu ya gharika nyingine kutokea yatanda

Pre GE2025 Mzimu wa Msigwa waitesa CHADEMA hofu ya gharika nyingine kutokea yatanda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Hofu imetanda CHADEMA
tahadhari ni kubwa, kana kwamba kuna uwezekano wa muandamizi mwingine akawa anajiandaa kuachia ngazi na kubwaga manyanga chamani soon.

Imefikia mahali, kila kiongozi mwandamizi wa CHADEMA hivi sasa anaweweseka kwa kumzungumzia Mchungaji Peter Msigwa kwa tahadhari, nidhamu na umakini sana kila anapokutana na wana habari.

cha kushangaza zaidi ni pale mkurugenzi wa Itifaki, mawasiliano na mambo ya nje wa Chadema John Mrema, anadai msigwa hana hadhi ya kujibiwa na chadema, huku yeye mwenywe Mrema akiwa ana mzungumzia na kumjibu huyo huyo Msigwa, maswala mbalimbali ambayo amekua akiyaibua dhidi ya chadema dhaifu...

sasa sijui hii ndio ile kitu inaitawa confuser and confused are confusing each other, right?

Nawatakia maandalizi mema ya Uchaguzi Serikali za Mitaa🐒
 
Chadema hai kuwahi kuteswa na kuondoka kwa W.Slaa iteswe na mzimu wa kinyago.
Vaa nguo mzee kupo wazi .
Hajui kuwa CHADEMA waliondoka Zito kabwe, Slaa, Mashinji, Sumaye, Lowasa, Nyalandu, Laurence Masha, na wengine wengi ambao walikua Very senior, yeye anaamka asubuhi hata chai hajui kama atakunywa anakuja na thread za Msigwa ambaye hakua hata na cheo.....
 
Hajui kuwa CHADEMA waliondoka Zito kabwe, Slaa, Mashinji, Sumaye, Lowasa, Nyalandu, Laurence Masha, na wengine wengi ambao walikua Very senior, yeye anaamka asubuhi hata chai hajui kama atakunywa anakuja na thread za Msigwa ambaye hakua hata na cheo.....
Anajifurahisha tu huyo chawa.
 
Chadema hai kuwahi kuteswa na kuondoka kwa W.Slaa iteswe na mzimu wa kinyago.
Vaa nguo mzee kupo wazi .
zingatia tahadhari na umakini wa maelezo, ufafanuzi, body languages, tones na facial expressions miongoni mwa waandamizi hasa kamati kuu wanavyoteseka ndani ya chadema, kisha utagunfua maumivu makali wanayoputia...

wengi wao ni kama vile wako njiani au kwenye maandalizi ya mwisho kumjoin, i think ni suala la muda tu :pulpTRAVOLTA:
 
If wishes were horses, beggars would ride.

Msalimie mwenzako Wassira nasikia anagombea tena.
kuna kiongozi muandamizi kamati kuu anakwepa wanahabari kulikoni aisee?, mfuatilieni vizuri ana kitu:pulpTRAVOLTA:
 
Hofu imetanda CHADEMA
tahadhari ni kubwa, kuna kwamba kuna uwezekana wa muandamizi mwingine akawa anajiandaa kuachia ngazi na kubwaga manyanga chamani soon.

Imefikia mahali, kila kiongozi mwandamizi wa CHADEMA hivi sasa anaweweseka kwa kumzungumzia Mchungaji Peter Msigwa kwa tahadhari na umakini sana kila anapokutana na wana habari.

cha kushangaza zaidi ni pale mkurugenzi wa Itifaki, mawasiliano na mambo ya nje wa Chadema John Mrema, anadai msigwa hana hadhi ya kujibiwa na chadema, huku yeye mwenywe Mrema akiwa ana mzungumzia na kumjibu huyo huyo Msigwa.

sasa sijui hii ndio ile kitu inaitawa confuser and confused are confusing each other, right?

Nawatakia maandalizi mema ya Uchaguzi Serikali za Mitaa🐒
CHADEMA ni TAASISI.

Kweli UJINGA NI MZIGO kama zigo la MAVI 🤔🤔
 
Hajui kuwa CHADEMA waliondoka Zito kabwe, Slaa, Mashinji, Sumaye, Lowasa, Nyalandu, Laurence Masha, na wengine wengi ambao walikua Very senior, yeye anaamka asubuhi hata chai hajui kama atakunywa anakuja na thread za Msigwa ambaye hakua hata na cheo.....
nachokijua ndicho nilichokiandika gentleman,

porojo na historia sifahamu kwakweli, mie nadeal na current issues zaidi:pulpTRAVOLTA:
 
Hofu imetanda CHADEMA
tahadhari ni kubwa, kana kwamba kuna uwezekano wa muandamizi mwingine akawa anajiandaa kuachia ngazi na kubwaga manyanga chamani soon.

Imefikia mahali, kila kiongozi mwandamizi wa CHADEMA hivi sasa anaweweseka kwa kumzungumzia Mchungaji Peter Msigwa kwa tahadhari, nidhamu na umakini sana kila anapokutana na wana habari.

cha kushangaza zaidi ni pale mkurugenzi wa Itifaki, mawasiliano na mambo ya nje wa Chadema John Mrema, anadai msigwa hana hadhi ya kujibiwa na chadema, huku yeye mwenywe Mrema akiwa ana mzungumzia na kumjibu huyo huyo Msigwa, maswala mbalimbali ambayo amekua akiyaibua dhidi ya chadema dhaifu...

sasa sijui hii ndio ile kitu inaitawa confuser and confused are confusing each other, right?

Nawatakia maandalizi mema ya Uchaguzi Serikali za Mitaa🐒
Msibwa hana impact kubwa kwa siasa za Tanzania, ni kweli alikuwa na vyeo vingi CDM ila nguvu ya Mamba siku zote ni kwenye maji akiwa nje ya maji nguvu inapungua. CCM wanamtumia msigwa kama toilet paper, wakimaliza issue zao wanamtumbukiza kwenye dustbin kazi imeisha.
 
Hofu imetanda CHADEMA
tahadhari ni kubwa, kana kwamba kuna uwezekano wa muandamizi mwingine akawa anajiandaa kuachia ngazi na kubwaga manyanga chamani soon.

Imefikia mahali, kila kiongozi mwandamizi wa CHADEMA hivi sasa anaweweseka kwa kumzungumzia Mchungaji Peter Msigwa kwa tahadhari, nidhamu na umakini sana kila anapokutana na wana habari.

cha kushangaza zaidi ni pale mkurugenzi wa Itifaki, mawasiliano na mambo ya nje wa Chadema John Mrema, anadai msigwa hana hadhi ya kujibiwa na chadema, huku yeye mwenywe Mrema akiwa ana mzungumzia na kumjibu huyo huyo Msigwa, maswala mbalimbali ambayo amekua akiyaibua dhidi ya chadema dhaifu...

sasa sijui hii ndio ile kitu inaitawa confuser and confused are confusing each other, right?

Nawatakia maandalizi mema ya Uchaguzi Serikali za Mitaa🐒
Waondoke wote Mnyika, Lissu hata Mbowe Chadema haitakufa chama hiki ni mpango wa Mungu.
 
zingatia tahadhari na umakini wa maelezo, ufafanuzi, body languages, tones na facial expressions miongoni mwa waandamizi hasa kamati kuu wanavyoteseka ndani ya chadema, kisha utagunfua maumivu makali wanayoputia...

wengi wao ni kama vile wako njiani au kwenye maandalizi ya mwisho kumjoin, i think ni suala la muda tu :pulpTRAVOLTA:
Mtasubiri sana Chadema kufa. Ccm kila mwaka mnalikoroga mara mikataba, mara tozo, mara wamasai, mara chura kiziwi, mara tukiwapoteza msituulize, mara tukishamaliza kuiba kura tunamwambia Mungu atusamehe nk nk nk.......... Wananchi wamechoka. Najua unajua ila unajitoa ufahamu!
 
Back
Top Bottom