Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
- Thread starter
- #21
gentleman pole sana,Mtasubiri sana Chadema kufa. Ccm kila mwaka mnalikoroga mara mikataba, mara tozo, mara wamasai, mara chura kiziwi, mara tukiwapoteza msituulize, mara tukishamaliza kuiba kura tunamwambia Mungu atusamehe nk nk nk.......... Wananchi wamechoka. Najua unajua ila unajitoa ufahamu!
naina moyo wako umejaa makholokhoncho ya maana hadi huruma dah 🐒
unaishi wap aise, kuhifadhi mambo kama hayo ni miongoni mwa vyanzo muhimu vya changamoto za kifra kwasasa,
ni muhimu kumuona daktari mapema aise dah 🐒