King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
hofu ya nini sasa,
na kutoaminiana kwao ni kwasababu gani sasa?π
basi sawa nadhani hujamshuhudia hata mwandamizi moja wa Chadema akimzingumzia msigwa na kwasababu hiyo huwezi kubali wala kuelewa ninachozungumxia πHofu mnayo nyinyi sisiemu ,cdm hakuna hofu wala kuogopana bali ni kuheshimiana tu.
Kaa kwa passwordebu gonga kwanza ugoro kidogo kabla hujapandisha mori na kuanza kuvurumusha makombora ya nguvu ya alqas kama tupo ghaza vile ila kwa maneno tuπ
ATAKAENDOKA ATAKUA MWANASIASAPESA...Chadema hai kuwahi kuteswa na kuondoka kwa W.Slaa iteswe na mzimu wa kinyago.
Vaa nguo mzee kupo wazi .
sure,ATAKAENDOKA ATAKUA MWANASIASAPESA...
Huwezi kukimbia mkiwa vitani..
Nikianza usilalamikeniko rada na niko chonjo mbaya sana my friend, nimejipanga mbaya sana traa tra tatπ
Nadhani ndiyo unachohitaji muda huukuyaporomosha au?
mbona asubuh mno sasa π
Chama kina Mbunge mmoja miaka mitano iliyopita halafu unasema hakijawahi kuteswa na kuondoka Dk. Slaa? Kweli aliyewaita nyumbu ajengewe mnara!Chadema hai kuwahi kuteswa na kuondoka kwa W.Slaa iteswe na mzimu wa kinyago.
Vaa nguo mzee kupo wazi .