Mzize apata simanzi kubwa dili lake kupeperuka

Sasa wewe umejuaje kama Mzize kapata simanzi
 
Mkuu watu wanataka wapate Cha juu kikubwa kuliko mchezaji mwenyewe.
 
Hii stori ya Hasheem Thabeet huwa inaniuma sana.
Kwa kipindi kifupi hasheem amekiwa billionea,unafikiri kwa kucheza vikapu vya Pazi sijui Dar City angepata wapi hela za kumnunulia mama yake nyumba Masaki.

Sometimes za kuambiwa ni aheri kuchanganya na za kwako. Lets take chances when they come our way. Japo alishindwa ku maintain kwa muda mrefu ila hela alizopata Marekani ni nyingi sana kwa kipindi kifupi na hadi mwishoni alipokuwa anapocheza timu za mchangani huko Asia still ali meki meki ngawira compare na angebakia kucheza vikapu vya hapa Umatumbini.
 
Nimeshangaa sana aisee, bilioni 3? Hii ingekua mo dewji angemuita dogo Dubai waagane vizuri ..jamaa Lina roho mbaya sana kumamakeh..Kuna siku mechi ya Simba na Orlando lilivaa jezi ya Orlando .senge mav kabisa, kwaio sishangai yeye kumfanyia roho mbaya mzize , ni roho mbaya na chuki ya wazi anaona sjui hatafaidika mana signing fee inaenda kwa mchezaji, pesa nyingine ingeingia kwenye klabu.
 
Kwahio ligi ya Libya ni bora kuliko Tanzania?
 
Huna ulijualo kuhusu football! lini Mo aliuza mchezaji kati kati ya msimu?
 
Ukiacha roho mbaya , hii ndio sababu kuu. Na nakuambia Hilo dirisha kubwa itakuja mezani labda milioni 800 hapo imezidi sana kutoka kwenye 3 billion.
Jitahidi sana ujue vitu kabla ya ku shout kama mjinga! alikwambia nani thamani ya mchezaji inashuka kwenye dilisha kubwa? tupe evidence ya hilo usemalo
 
Waarabu wakikukubali watakusajili tu huonda huyo mshambuliaji waliomsajili ni wa muda tu wakati wakisubiri target yao ambaye ni Mzize
 
Ukiacha roho mbaya , hii ndio sababu kuu. Na nakuambia Hilo dirisha kubwa itakuja mezani labda milioni 800 hapo imezidi sana kutoka kwenye 3 billion.
Watanzania wanapenda sana kutumia nyota za watu na hawaogopi hata deal yote ikiharibika kabisa.SASA HUU SI UCHAWI.
 
Bira kusahau Sindano bora.
 
Mzize bado anahitaji kujiimarisha zaidi ndani ya Yanga, kabka ya kwenda kucheza nje ya nchi. Kinyume na hapo, mnaweza kusababisha kiwango chake kikaporomoka kwa sababu tu ya kumjaza upepo.
Sioni shida kiwango kikimporomokea huko huko wakati biashara imeshafanyika. Ni wachezaji wachache sana wanaweza kupata bahati ya kuingiza hela ndefu kama hiyo kwa miaka miwili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…