Mzize apata simanzi kubwa dili lake kupeperuka

Ni bora hata angemwambia mwanangu Mzize ktk hio hela utayokunja nimegee hata 10% ili turahisishe mambo ukale maisha arabuni, kuliko kumbania hivi huku akidhani dirisha kubwa anaweza kumuuza dau kubwa zaidi ukizingatia Yanga imetolewa group stage CAFcl hivyo inapunguza market value ya mchezaji
 
Kwahio ligi ya Libya ni bora kuliko Tanzania?
Mkuu, japo kwa ubora Tz ipo juu ila Libya wanalipa vizuri sana kuliko Tz

Na kwasasa timu zao hizi kina Ittihad, Ahly Tripoly, Ahly Benghazi wanazidi kusajili watu wa maana ili kujiimarisha zaidi kimataifa next season ya Caf
Dirisha dogo tu wamewachukua Mohamed Zrida kutoka Raja, Gerson Dala foward muAngola, Ismail Belkacemi kutoka USM Alger, Orebonye kutoka FAR Rabat nk
 
Mkuu timu gani inaweza beba garasa la kukaa siku 450 bila goli kwenye ligi? Anazidiwa mpaka na beki Mwenda mechi 3 goli 1
😅😅
Ila hilo garasa limefunga magoli ya maana ktk kufuzu robo fainali Caf

Wakati top players kina Dube, Chama, Aziz, Pacome wamekwamia makundi
 
Watakuja wengine wenye dili kubwa zaidi, hiyo haikuwa ridhiki, mzize ni chuma!!
 
Mzize anaondoka mwishoni mwa msimu, kuna dalili ataelekea Ubelgiji.
 
Nafikiri hukuelewa point kubwa inayoongelewa. Swala siyo kutopata hela, ila angekubali ushauri wa kujiimarisha kabla ya kujiunga na NBA angekuwa mbali sana kuliko alipoishia. Hebu angalia alikofikia Steph Curry aliyekuwa wa tisa wakati Hasheem akiwa wa pili kwenye draft yao.
 
Samata angefuatilia haya maoni Yako asingefikia pale alipo Leo....
 
Wajuaji hawaishi. Tena wajuaji ambao mwanzo walimponda leo wamekua watetezi na wakati kuna mtu amewekeza kwake mpaka leo Mzize anaonekana huyu. Huyu mwekezaji lazima na yeye aangalie maslahi yake na ya mchezaji. Hutakiwi kukurupuka kisa tu umetajiwa offer nzuri.

Mimi naamini lipo jambo jema la Mzize mwisho wa msimu. Tuendelee kula mtori nyama zipo chini
 
Watakuja wengine wenye dili kubwa zaidi, hiyo haikuwa ridhiki, mzize ni chuma!!
Fursa haimngoji mtu mkuu

Mayele alikuwa top player kwelikweli kuanzia ndani ya ligi mpaka Caf championship lakn mauzo yake hayakuzidi 3bn

Simba walishauza Kichuya wakiwa Egypt kwenda kucheza na Al Ahly Cafcl msimu wa 2018/19 dirisha dogo

Yanga wana tabia ya kubania sana wachezaji wazawa kuwauza pindi wanapohitajika
 
Sijasoma lakini hakujawahi kuwa na dili la Mzize.Zilikuwa propaganda za nyuma mwiko

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…