"Mzoea vya kunyonga vya kuchinja Haviwezi". Hongera Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji

Akili ni nywele kila mtu ana zake.
Hivi wewe aliyekuambia kuwa maamuzi ya kamati kuu ni KUWAFUKUZA UANACHAMA ni nani??.
Huo ni umalaya wa uandishi wa habari.
 
Mi nakukumbusha tu kuwa ile mimba ya yule kijana wako uliyemtorosha aliikibali au ndio mkamwacha binti wa watu ajizalie tu mtoto
 
Membe alifukuzwa kwa kuzoea vya kunyonga toka kwa malaika wa kirundi
 
Mlipokuwa mnawaibia kura mlikuwa mmesahau huo uzuri wao? Unafiki huu unazidi kujenga msingi wa kuibomoa nchi
 
Polisi ya wapi wangekwenda kuripoti ? Mara mia wawe wabunge wa mahakama kuliko kuwa wabunge mamluki kisa mbowe anaitaka ruzuku
 
Chadema wakubali yaishe. Walishiriki uchaguzi ili wapate kura .Wamepata wabunge 20.Si haba wawape ushirikiano wawashe moto bungeni. Waendelee kujenga chama. Na waongee hoja bungeni. Maana huku nje wakiongea wanaitwa wachochezi.

CHADEMA kama chama hawayatambui matokeo ya uchaguzi na yote yatokanayo nao.

Tume inasema ilipata orodha kwa CHADEMA kupitia katibu mkuu anayekanusha hilo.

Kwanini asibainishwe aliyeingilia mchakato huu ambayo kwa hakika ni jinai?

Mtawalazimisha CHADEMA kuyatambua matokeo haya ya wizi?
 
Mkurugenzi wa NEC kasema mnyika alipeleka majina yao tarehe 19, Sasa huelewi Nini tena?
Mkurugenzi wa NEC ni nani, huyo ni uchafu kama uchafu mwingine. Unaleta habari za watu walioratibu wizi kwenye uchaguzi, ndio unaniambia kasema?
 
Ni lini Chadema walishatambua matokeo ?Ila pamoja na kutokutambua matokeo still wamekuwa wakienda Bungeni.
 
Pascal Mayala kutoka mwandishi na mtangazaji nguli wa kipindi maarufu cha kitimoto mpaka kuwa vuvuzela la chama mufilisi cha kijani kibichi kidichokuwa na sera ,dira na mwelekeo in Horace Kolimba's voice ccm general secretary .
 
Huyo jamaa siku hizi anajitoa sana ufahamu, usipoteze nguvu zako bure
Zamani alikuwa ana akili za kumtosha. Lakini tangu ameitwa mbele ya bunge, amekuwa mtu tofauti kkabisa.Ndio amebadili msimamo wake kiitikadi hadi eti naye akawa kada wa ccm na kuomba kuteuliwa kugombea ubunge wa Kawe. Amekuwa kama zezeta siku hizi. Atafuta attention ya mfalme wao.
 
Ni lini Chadema walishatambua matokeo ?Ila pamoja na kutokutambua matokeo still wamekuwa wakienda Bungeni.

Kwa hiyo mlitegemea kuwa hata mkiiba wasipotambua matokeo watakwenda tu bungeni na maisha kama kawa, kwa sababu pori jipya Ila nyani wale wale?

Sasa imekuwa ndivyo sivyo mnaulizana mbona mwaka huu haijawa hivyo?

Kale ka "sasa basi" mliwahi kukasikia safari hii? Kwanini usidhani hako ndiyo tofauti iliyopo?
 
Kama Halima ni mwanasheria, alitakiwa kujua mwenye mamlaka ya kisheria ya kupeleka majina tume ya uchaguzi ni KM. Huu uzi unakuchoresha tu bro.
Mwenye mamlaka Ni chama sio mtu mfano mnyika angekuwa kafa na mwingine hajateuliwa majina yasingepaelekwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…