Mzozo wa CHADEMA na TBC: Nitasema mimi kiazi, wewe muhogo una mzizi'!

Wacheni kuwaonea tbc matangazo yanarushwa kupitia mtandao wa internet na pale mbagala mawasiliano Ni ya kusuasua tatizo Ni wao cdm kufanyia mkutano vichochoroni,
Wewe jamaa yaani ni muongo hata babako shetani anakushangaa umezaliwajee!
 
Eti TBC wakae na cdm wayamalize. Nasema TBC musikubali labda wao chadema waje watubu vinginevyo chuma kwa chuma. Rusheni mikutano ya act wazalendo hasa kupitia TBC taifa ili wavijijini wasikie.
Chadema wameshindwa kuendesha online tv yao kwasababu za kipuuzi kabisa.
 
Mbona mpayuko wa bwana yule unaenda live bila editing why dabo std
 
Hivi waandishi wa TBC WANGEVAMIWA NA ILE HALAIKI NA KUSHAMBULIWA TUNGEANDIKA HAYA?
Wewe kwa akili yako unadhani nani angewavamia? Wale siyo maccm bwana, wanajitambua, hawawezi kufanya ujinga kama huo!
 
Wacheni kuwaonea tbc matangazo yanarushwa kupitia mtandao wa internet na pale mbagala mawasiliano Ni ya kusuasua tatizo Ni wao cdm kufanyia mkutano vichochoroni,
Duh....!
Yaani mbagala in vichochoroni!?
 
Mtaongea maneno mengi kwa kuyapanga mkidhani mnaelewa sana na kumbe ni bure tu

Kiufupi upinzani hasa hii chadema ni kundi la wahuni tu. Wapiga dili na sasa kiwango chao wanatamani kupiga dili kupitia Ikulu na mamlaka.

MUNGU hajawahi kua mjinga mpaka akawateua,uongozi wowote MUNGU huujua na ni yeye ndiyo hufanya uwepo wake

Watakwama vibaya sana..ninyi wengine ni vibaraka msiyo jua, dalili za wazi za mgombea zinaonyesha anataka mali na maisha yake yaende,amefanya makubaliano na white people kuja kufirisi nchi aliyo zaliwa,huyu ni muhaini.
 
Wanatetea vibarua vyao. Hawawezi ruhusu mwajili wao asemwe.
 
Team KICHAA!.
 
Watu wa Mungu wameacha kazi ya Mungu wamejikita kwenye siasa!
Kuna ubaya? Lbd kwakuwa ni uchaguzi had it been ni covid 19 viongozi wangesifiwa Kwa kushiriki, woga wa watawala uko wazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…