Mzozo wa CHADEMA na TBC: Nitasema mimi kiazi, wewe muhogo una mzizi'!

Sasa unalia nini!
 
ZERO BRAIN tu ndiye anayeweza kuandika upuuzi kama huu.

Mbowe na genge lake la wahuni waliogopa drones za TBC maana zilikuwa zinarusha kila kitu hewani wakaona wataumbuka kwa mwitikio kiduchu wa watu ndo wakaamua kuwafukuza TBC wakati tukiwa tunaanaglia live
 
Nina kubaliana na wewe unaposema kwamba TBC wame onyesha upendeleo mkubwa kwa muda mrefu ila kitu ambacho wana CHADEMA wana shindwa ku tambua ni kwamba shirika hilo lina rusha matangazo yanayo tizamwa na watanzania wengi kuliko mashirika mengine. Huu sio muda muafaka kwa wana CHADEMA ku angalia ya zamani. TBC wana weza ku wasaidia sana kwenye kampeni zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…