Mzozo wa DRC: Waasi wa M23 watangaza Kusitisha Mapigano kwa 'Sababu za kibinadamu'

Mzozo wa DRC: Waasi wa M23 watangaza Kusitisha Mapigano kwa 'Sababu za kibinadamu'

Hahahaha acha habari zako wewe ni humu sio sehemu ya kudanganya watu tanzania ishapokea kichapo kutoka Kwa m23 kama wanajiamini waende wakaue mwanajeshi hata mmoja wa m23 halafu waone kama watu hawajwaletea vita tanzania nadhani unazungumza vitu ambavyo hujui hao sio m23 wa 2013 mzee pima halafu uone
Nikuambie kitu usichokijua rafiki.
Tanzania na Rwanda ni nchi rafiki kabisa,zina mahusiano mazuri zinafanya biashara na Marais wanatembeleana,nadhani hilo tuanakubaliana.
Raia wa pande zote mbili wanafanya biashara na wanashirikiana kwa Kila kitu.
Tahadhari kwa Kagame ilianza pale Kikwete na Kagame walipozozana.
Rwanda haiwezi kupigana na Tanzania kwa sababu nyingi mno.
Kubwa kuliko zote na ambazo ndizo Kagame hana amani nazo ni kua, kwa muda mrefu kagame amekua akipitisha mizigo yake kwenye bandari ya Dsm,na hapo ndipo alipofanyiwa umafia mkubwa kiasi alipokuja kugundua damage alijaribu kuhamia bandari za mbali.
Bahati mbaya alikohamia vijana walimtangulia ,alipogundua kua Kuna watu wameshakwenda huko na wanampigia chabo pia,aliamua kua mpole kwa Tanzania.
Watu walifahamu kirahisi mizigo yake nchi ilikotoka na mahali ilikoshushwa kuanzia mkoa,wilaya,kata,tarafa,Kijiji,mtaa,porimsitu na hadi kichaka.

Kiukweli Rwanda nchi ndogo kieneo yenye idadi ndogo ya watu isoyokua na bahari wala bandari, na isiyo na uzoefu wa vita kubwa haiwezi kutunishiana misuri na nchi kama SA na TZ,nchi zenye uzoefu na Kila aina ya vita,kuanzia vita za mda mrefu,vita vya kudai Uhuru,ukombozi,vita vya msituni Msumbiji,vita vya kulinda amani sehemu kama ,sudani,Liberia,Lebanon dadi vita za msitun.
Vita vya kusaidia kama Shelisheli na visiwani Comoro.

Utake usitake Rwanda kwa Tanzania ni hamna kitu.
Tumefanya biashara sana na Rwanda sisi Tanzania.
Sio Kila biashara ni biashara.
 
Dogo usijiamini Sana hii inathibitisha wewe sio Mtanzania kama ni Mtanzania si mzalendo. Unajua gharama ya usariti kwa nchi? Shauri yako unadhani hii mitandao ni salama Sana. Wenzako wanamtambo wa kukujua kutumia data (internet) unayotumia Tena kama ni ya simu ndio wanachora tu
We kenge kweli yaani waache kuwatafuta waliowachezeshea kichapo wanitafute Mimi kwahiyo wakicheza kichapo Cha mbwa Koko tusiseme boya kweli wewe
 
Nikuambie kitu usichokijua rafiki.
Tanzania na Rwanda ni nchi rafiki kabisa,zina mahusiano mazuri zinafanya biashara na Marais wanatembeleana,nadhani hilo tuanakubaliana.
Raia wa pande zote mbili wanafanya biashara na wanashirikiana kwa Kila kitu.
Tahadhari kwa Kagame ilianza pale Kikwete na Kagame walipozozana.
Rwanda haiwezi kupigana na Tanzania kwa sababu nyingi mno.
Kubwa kuliko zote na ambazo ndizo Kagame hana amani nazo ni kua, kwa muda mrefu kagame amekua akipitisha mizigo yake kwenye bandari ya Dsm,na hapo ndipo alipofanyiwa umafia mkubwa kiasi alipokuja kugundua damage alijaribu kuhamia bandari za mbali.
Bahati mbaya alikohamia vijana walimtangulia ,alipogundua kua Kuna watu wameshakwenda huko na wanampigia chabo pia,aliamua kua mpole kwa Tanzania.
Watu walifahamu kirahisi mizigo yake nchi ilikotoka na mahali ilikoshushwa kuanzia mkoa,wilaya,kata,tarafa,Kijiji,mtaa,porimsitu na hadi kichaka.

Kiukweli Rwanda nchi ndogo kieneo yenye idadi ndogo ya watu isoyokua na bahari wala bandari, na isiyo na uzoefu wa vita kubwa haiwezi kutunishiana misuri na nchi kama SA na TZ,nchi zenye uzoefu na Kila aina ya vita,kuanzia vita za mda mrefu,vita vya kudai Uhuru,ukombozi,vita vya msituni Msumbiji,vita vya kulinda amani sehemu kama ,sudani,Liberia,Lebanon dadi vita za msitun.
Vita vya kusaidia kama Shelisheli na visiwani Comoro.

Utake usitake Rwanda kwa Tanzania ni hamna kitu.
Tumefanya biashara sana na Rwanda sisi Tanzania.
Sio Kila biashara ni biashara.
We Kweli kinabo hujui hata unachoongea🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
We kokrochi ya kitusi dawa yenu iko jikoni soon mtakimbia vita na sehemu yenu kubwa ya kwanza bongo,, sasa safari mkija tunawafihleni kwanza alafu ndo tunawapa kambi ya kujihifadhi mbwa nyie
We ngedere kweli 🤣🤣🤣🤣
 
Kwa taarifa tu makampuni ya madini ya SA ndo wamiliki wakubwa wa migodi ya Kongo ! Hivyo serikali ya SA ina maslahi Kongo kwa maana ya kwamba malipo yote wanayopokea makampuni hayo yanapitia katika mabenki ya SA hivo serikali inapata kodi kbwa tu
KAKA MBONA UJAONGEA UONGO HATA KIDOGO WAKITAKA UHAKIKI WAKAULIZE TRUCK DRIVER WANAOFATA COPPER CONGO GARI YA SA HAPIGWI MAWE KAMA ZETU ZA KIBONGO KIUFUPI MIUNDO MBINU YA CONGO INATEGEMEA KUTOKA SA UMEME UNAZALISHWA ZAMBIA UNAKWENDA CONGO ILA ZAMBIA GIZA 😂 WANAVAA MANGUO YA MING'AO TU USIKU MUONANE KWAIYO MSHUA KAMA KAAMUA KUPIGANIA UGALI WAKE CONGO CC TUWE MASHABIKI NANI KAPIGWA MENGINE HAYATUHUSU
 
Dogo Kagame na Rwanda ni hamna kitu,ninwepesi kama sufu.
Ninavyokuambia hivi ninajua mengi ila siwezi kusema hapa,nikiandika hapa nitajulikana Mimi ndio nimeandika,nilipewa kazi ndogo TU ya kufanya katika moja ya himaya za huyo Kagame wako.
Tanzania inqjua huyo jamaa Yako anapolala na kuamkia.
Katika kitu Nyerere alipatia ni kuweka mfumo wa wajumbe wa nyumba kumi.
Kagame alishaingia kwenye mtego wetu siku nyingi na yeye anajua.
Hapa Kikwete alicheza kama PeleLww Tanzania ogopa sana Mashehe na Mapadri.
Mimi sio man in uniform wala Agent,bali ni mfanyabiashara TU,lakini mwinifu kwa nchi yangu .
Baaaasi Tateee baaasi utaniliza bure mana kuna watoto wamekazana kila kitu chai chai hawajui mambo yanayotendeka
 
Hakuna kitu chochote Cha maana anachojisifia.
Angalia umbali uliopo kati ya Dodoma hadi Ngara, halafu Ngara hadi Kigali.
pic1.jpg


pic2.jpg
 
Back
Top Bottom