Mzozo wa Ukraine: NATO yaanza kupiga jaramba

Si kweli, wote wenye pesa hawajapewa na Mungu.
 
Natamani the whole northern hemisphere (North America, Europe and Asia)wajiingize ktk Vita,,, ili iwe malipo ya ukoloni na slave trade waliyofanya dhidi ya Africa.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna jipya! Mikwara tu.

Putin keshaingia Ukraine na hakuna aliyemzuia.

Wameishia kuchonga midomo tu. Ooh sijui vikwazo…sijui nini…

Hakuna kilichomzuia Putin.
Mbwembwe zao tu kma wanaume si wangemvaaaa putin
 
Hakuna jipya! Mikwara tu.

Putin keshaingia Ukraine na hakuna aliyemzuia.

Wameishia kuchonga midomo tu. Ooh sijui vikwazo…sijui nini…

Hakuna kilichomzuia Putin.
hv wangemzuia tangu mapema kabla hajaingia , ss huon kama NATO ndo wangekuwa wavamizi ss ? kwasasa Urusi inakesi tyr ya kujibu Uvamizi kwenye nchi huru
 
Kila kitu kinaenda kwa hatua sio ukurupukaj Ukraine sio member wa NATO so NATO hawaruhusiw kuingilia hilo swala , wahusika hapo ji UN na EU ndo wanabidi waingilie kati kuleta amani na si kumpiga mmoja wapo , NATO itavamia endapo utamvamia member wao tu ,so Urusi kawai kabla Ukraine haijajiunga , Rais wa Ukraine ni kilaza ilibidi apeleke mashitaka UN kitengo cha ICC kuishitak Urusi kwa uvamizi huenda UN ingefanya kitu ila UN haiwez kuingilia mgogoro haraka pasipo kuwa na taarifa za uhakika kutoka kwa mmoja wapo
 
Kwa sasa Puttin anaishi kwa mashaka kuliko ilivyokuwa kabla hajaivamia Ukraine.

Hofu ya vikwazo na madhara yake bila kusahau hofu ya nini kinaweza kufanyika kulipiza kisasa iwe ni leo, kesho au keshokutwa.
😂😂😂😂 wewe jamaa bwana
 
Halafu ndo summary yenyewe yaan
 
Hakuna jipya! Mikwara tu.

Putin keshaingia Ukraine na hakuna aliyemzuia.

Wameishia kuchonga midomo tu. Ooh sijui vikwazo…sijui nini…

Hakuna kilichomzuia Putin.
Wanajeshi wa Russia wanachekelea na Putin Kuingia Ukraine ,Kwake Urusi wananchi wanalia kwa vikwazo
 
Siyo kashindikana yaani hana cha kupoteza, na Ukraine wao walikosea sana kuungana na matapeli NATO. Bora wangekaa wakayamaliza bila hawa wahuni ambao wanaishia kuogopa hata kupeleka wanajeshi
Kiufupi Ukraine hawaikusoma alama ya nyakati.. Muingereza alivyojitoa wao walikuwa wapi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…