Mzozo wa Ukraine: NATO yaanza kupiga jaramba

Mzozo wa Ukraine: NATO yaanza kupiga jaramba

The activation of the response troops does not mean that any US or NATO troops will go into Ukraine, which is not a member. US President Joe Biden has been clear that US troops are deploying to eastern Europe to help bolster NATO countries nervous about Russia's aggressive actions, and they will not be fighting in Ukraine

Nimesoma hadi hapo nikaishia hapo
Na hapo ndipo ujumbe mkubwa ulipo
 
Mwenye akili ataelewa hii strategy inayotumika hapa.
“The activation of the response troops does not mean that any US or NATO troops will go into Ukraine, which is not a member…….”


Ukraine kaachiwa msala peke yake. Hawa NATO ni wapuuzi tu. Na wanachofanya ni mikwara mbuzi. Putin is bullying all of them left right and center
 
Kwa sasa Puttin anaishi kwa mashaka kuliko ilivyokuwa kabla hajaivamia Ukraine.

Hofu ya vikwazo na madhara yake bila kusahau hofu ya nini kinaweza kufanyika kulipiza kisasa iwe ni leo, kesho au keshokutwa.
We nawe unaongea Kama upo usingizini , sasa vikwazo ndio nini? Vikwazo vitatusesa sisi nchi za mwisho wa dunia kwa nchi Kama Urusi vikwazo ni propaganda tu ,Kwan Trump awamu yake yote si kaiwekea vikwazo je nchi yako imeifikia urusi kiuchumi kwa kua haijawekewa vikwazo, au toka Obama mpaka leo Iran vikwazo vinaongezwa tu je Iran kiuchumi sawa na nchi yako ? Vikwazo ni kuua Soo tu kwa nchi kubwa
 
Halafu inaonekana hujui mambo ambayo yanaweza kutriger w/war ndo maana unadhani ni kujambajamba kwa waafrika.
Embu pekua pekua ww2 ilisababishwa na nini.
Ninyi mliojilimbikizia Mali za kifisadi ambazo hata miaka 100 hamtazimaliza huku masikini wakifaa njaa ndio mnaogopa WW III. Maskini ambaye anamaliza siku 2 bila hata kupata japo andazi la Kura unafikili anaiogopa hiyo WW III? Nyie ndio mnaogopa Kufa kwasababu mtaziacha hizi anasa za dunia na kwenda Kusota kwenye Moto wa Jehanamu.
 
Ninyi mliojilimbikizia Mali za kifisadi ambazo hata miaka 100 hamtazimaliza huku masikini wakifaa njaa ndio mnaogopa WW III. Maskini ambaye anamaliza siku 2 bila hata kupata japo andazi la Kura unafikili anaiogopa hiyo WW III? Nyie ndio mnaogopa Kufa kwasababu mtaziacha hizi anasa za dunia na kwenda Kusota kwenye Moto wa Jehanamu.
Sidhani ati kisa ww n masikini ndo huogopi kuona ,dada zako qaqa wadogo zako mama na ndugu zako uwapendao yanawafika maafa haya ya ajabu na kutisha sidhani kbs🤒😔



 
hawana busara washenzi wangekua na busara hata hii vita inayoendelea isingetokea kabisaa
walishupaza shingo acha waonyeshwe kama PUTIN sio GADAFI
hakuna NATO atakae ingilia huu mgogoro naakiingilia watapigwa tu
Tumia busara Basi hata Kidogo unapocomment. Urusi ina Nguvu kweli za kijeshi. Lakini Usituambie ujinga wako kwamba Urusi anaweta kuanzisha Vita na kuyateka Mataifa yote ya Marekani,Uingereza,Ufaransa,Ujerumani,Poland,Uturuki,Nk. Hayo sio mahaba Tena Bali ni LIMBWATA.

Marekani wanaogopa Vita kubwa hasa dhidi ya Urusi au China,ndio maana wanakaa pembeni. Lakini haimaanishi kwamba Endapo Option pekee ya Marekani iliyobaki kwa Usalama wa Marekani ni Vita useme patakalika. Vita itakuwa kubwa Sana,Hayatakuwa Tena Kama tunavyoona inavyopiganwa Ukraine TU huku Urusi Wakinywa Vodka,Laa hasha. Si Urusi Wala Marekani,kote huko itakuwa ni Misiba ya Vifo vya Raia.
 
Mwaka 1955 Wakati Congo ipo Chini ya Ubeligiji
-Baba mmoja wa kizungu Alinunua mtt wa kiafrika na kumuweka kwenye wavu kwajili ya watoto wake kuchezea kama mdoli,.
[emoji26][emoji26] wazungu ni [emoji706][emoji706]
20220226_114025.jpg


Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
 
Ninyi mliojilimbikizia Mali za kifisadi ambazo hata miaka 100 hamtazimaliza huku masikini wakifaa njaa ndio mnaogopa WW III. Maskini ambaye anamaliza siku 2 bila hata kupata japo andazi la Kura unafikili anaiogopa hiyo WW III? Nyie ndio mnaogopa Kufa kwasababu mtaziacha hizi anasa za dunia na kwenda Kusota kwenye Moto wa Jehanamu.
Sikiogopi kifo. Mda utafika tu na miaka ndo inasonga. Nawasemea hawa watoto wanaurukaruka hapa kwangu na wa majirani. Wajukuu na vizazi vya mbele vya dunia. Wana haki ya kuishi.

Ni Shida sana ukiwa na umasikini na uchoyo hadi wa pumzi kwa vizazi vijavyo, unataka tu dunia iyeyuke hata leo😂

Kama u mchoyo hupati, maana MUNGU hakupi mali kwa ajili yako, bali jamii yako. MUNGU anapitisha pesa kwa yule anayeona kuwa huyu ataigusa jamii, na huyo mtu anaonekanaga hata akiwa na kidogo.

Achana na mawazo ya kwamba wenye mali walijilimbikizia kwa njia isiyo halali.
 
Sawa. Tukiachana na shibe yako pia inaonekana huna uzazi. Yaani huna wajukuu wanaokutembelea ukawaona wakicheza cheza hapo uwanjani kwako ndo maana unaona ni sawa tu mwanadamu akiwa wipe out. Huna future linapokuja suala la uzao wako.
Kwahyo hyo ndo hoja ya msingi?... Unaendelea kudhihirisha low iq mkuu... Nmekwambia kanusha hoja yangu kwamba si kwel nilchosema... Mbona maneno meng chief

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiko kikosi (task force) kinapelekwa Poland na huko Baltic states kwenda kuongeza nguvu na kulinda mipaka ya NATO. Hakiendi Ukraine, kulingana na taarifa za sasa, sababu Ukraine si mwanachama.

Ukraine itaongezewa silaha pamoja na misaada mingine kutoka nchi za NATO.
Kupitia njia gani
 
Sarah Baartman: Mwanamke mweusi kutoka Afrika Kusini aliyesafirishwa Ulaya kama mtumwa kwa maonesho sababu ya makalio makubwa
_119878865_da189a05-9f7c-484e-9291-1e0f7e9cc1a2.jpg


Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom