Mzozo wa Urusi na Ukraine wafukuta zaidi

Mzozo wa Urusi na Ukraine wafukuta zaidi

Russia ana vita nyingine Syria. Ataharibu uchumi wake akianzisha vita.
Mmarekani na wenzie wana shida hapo Ethiopia, bado Ukraine na taiwan inawasubiri, hapo mashariki ya kati panaeleweka tayari watu wanaliana timing tu............na hao wa magharibi kupigana zile vita za head to head wanakwepaga labda wakute kataifa dhaifu ila wakikutana na wababe wenzao wanapenda kutumia proxies tu wao wanakua wanawasaidia ila ngoma zote za sasa wanaweza wakapambana wenyewe kwa wenyewe bila hata kutumia proxies , wakiona pamoto watabwabwaja tu na kutishia vikwazo basi hamna watakalo fanya
 
Russia ana vita nyingine Syria. Ataharibu uchumi wake akianzisha vita.
Hizo ni proxy wars tu kuachana nayo na kufocus sehem 1 ni rahisi sana kama mmarekani alivyojitoa afganistan na kipindi kile somalia........uzuri wa sasa mrusi hapambani na hao jamaa peke yake , wapo na mchina ,Iran..........hio ya kuharibu uchumi kwa sasa ni ngumu iliwezekana kipindi cha vita baridi maana Mrusi alikua peke yake ndo mwenye uwezo akipambana na hao wamagharibi kwa sasa mchezo umebadilika usimsahau na mturuki pia japo hajaeleweka anaegemea wapi
 
Hizo ni proxy wars tu kuachana nayo na kufocus sehem 1 ni rahisi sana kama mmarekani alivyojitoa afganistan na kipindi kile somalia........uzuri wa sasa mrusi hapambani na hao jamaa peke yake , wapo na mchina ,Iran..........hio ya kuharibu uchumi kwa sasa ni ngumu iliwezekana kipindi cha vita baridi maana Mrusi alikua peke yake ndo mwenye uwezo akipambana na hao wamagharibi kwa sasa mchezo umebadilika usimsahau na mturuki pia japo hajaeleweka anaegemea wapi
Mturuki hawezi kuungana na Urus endapo Vita vitaibuka Kati ya Urus na Nato.
 
Inategemea maslahi yake pia maana na yeye hua anakwaruzana na Nato
Rais wa Turkey ndio anakwaruzana na Nato hasa Marekani kwasababu wanamkosoa kuhusu ukandamizaji wa kidemokrasia nchini kwake,Jeshi la Uturuki Marekani anaushawishi Mkubwa ndani yake. Ikitokea Vita Kati ya Nato na Russia harafu Eldogan akaungana na Russia Ni ndani ya mda mfupi Jeshi Linachukua madaraka nchini Uturuki na kuungana na Marekani.
 
Rais wa Turkey ndio anakwaruzana na Nato hasa Marekani kwasababu wanamkosoa kuhusu ukandamizaji wa kidemokrasia nchini kwake,Jeshi la Uturuki Marekani anaushawishi Mkubwa ndani yake. Ikitokea Vita Kati ya Nato na Russia harafu Eldogan akaungana na Russia Ni ndani ya mda mfupi Jeshi Linachukua madaraka nchini Uturuki na kuungana na Marekani.
Mbona yale mapinduzi yaliyofeli rais aliwabinya kende wakatulia na Mmarekani anabaki kuleta ngonjera tu............hata huyo rais nae anajua backup anapata wapi
 
That mighty "eagle"on the US flag knows no fear, when it spreads its wings and claws, the "snow bear" suffers diarrhea.
Ndugu yangu uliwahi shugudia uharo unaomwagwa na tai akikamatwa na dubu¿
 
The last kick of a dying horse. Putin kaona wanataka kumzunguka mpaka nyumbani kwake mwishowe wampige mande. Anachimba biti tu hapo hakuna vita na mwishowe Ukraine itajiunga na NATO.
Mkuu si hata Georgia chini ya Mikheil Saakashvili ilitaka kwenda mwelekeo huu ikapigwa na kuishia kumegwa, Ukraine tayari Crimea haiko kwao na soon Donbass inaweza kuondoka. Tusiwe wasahaulifu kiasi hiki, Urusi ya Putin sio ya kubezwa. Kwenye maslahi yao hasa ya kiusalama ukivuka mstari wao mwekundu wanakuja tena mchana kweupe.
 
Mkuu si hata Georgia chini ya Mikheil Saakashvili ilitaka kwenda mwelekeo huu ikapigwa na kuishia kumegwa, Ukraine tayari Crimea haiko kwao na soon Donbass inaweza kuondoka. Tusiwe wasahaulifu kiasi hiki, Urusi ya Putin sio ya kubezwa. Kwenye maslahi yao hasa ya kiusalama ukivuka mstari wao mwekundu wanakuja tena mchana kweupe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umenikumbusha Mikheil Saakashvili alipata kichaa cha gafla baada ya kusikia milio ya ndege za Urusi zikipita juu ya anga sehemu alipokuwa anaongea na wananchi wake.ilibidi tu akubali masharti ya Warusi maana jamaa walikuwa wanaelekea mji mkuu kwenda kumchomoa ikulu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umenikumbusha Mikheil Saakashvili alipata kichaa cha gafla baada ya kusikia milio ya ndege za Urusi zikipita juu ya anga sehemu alipokuwa anaongea na wananchi wake.ilibidi tu akubali masharti ya Warusi maana jamaa walikuwa wanaelekea mji mkuu kwenda kumchomoa ikulu
Hii kuchanganyikiwa aliwahi kurekodiwa anatafuna tai😄😄
 
Mkuu si hata Georgia chini ya Mikheil Saakashvili ilitaka kwenda mwelekeo huu ikapigwa na kuishia kumegwa, Ukraine tayari Crimea haiko kwao na soon Donbass inaweza kuondoka. Tusiwe wasahaulifu kiasi hiki, Urusi ya Putin sio ya kubezwa. Kwenye maslahi yao hasa ya kiusalama ukivuka mstari wao mwekundu wanakuja tena mchana kweupe.
Sipingi uimara wa Urusi, na hata hivyo inabidi afanye vile kwa sababu amegundua wanataka kumweka mtu kati hapo hapo nyumbani kwake, shida yangu ni kuwa, NATO wakisimama na Ukraine kijeshi, nasita kusema kama Urusi ataendelea na hivi vitisho vyake.
 
Sipingi uimara wa Urusi, na hata hivyo inabidi afanye vile kwa sababu amegundua wanataka kumweka mtu kati hapo hapo nyumbani kwake, shida yangu ni kuwa, NATO wakisimama na Ukraine kijeshi, nasita kusema kama Urusi ataendelea na hivi vitisho vyake.
Mrusi hana vitisho anafanya kweli.....upande wa pili ndo mikwara mingi
 
Mrusi hana vitisho anafanya kweli.....upande wa pili ndo mikwara mingi
Kinachoilinda Urusi ni Kuwa na akiba ya Makombora ya nyuklia Kama ilivyo Korea Kaskazini. Bila Makombora ya Nyuklia ambayo Urusi hutishia kuyatumia pale ambapo anaona NATO wakiwa Serious Sana,Bila NUCLEAR WEAPONS Urusi hawezi kupigana Hata na MAREKANI Acha NATO.
 
Sipingi uimara wa Urusi, na hata hivyo inabidi afanye vile kwa sababu amegundua wanataka kumweka mtu kati hapo hapo nyumbani kwake, shida yangu ni kuwa, NATO wakisimama na Ukraine kijeshi, nasita kusema kama Urusi ataendelea na hivi vitisho vyake.
ishu nikwamba NATO wakisimama na UKRAINE nae RUSSIA atasimama kisawa sawa patakua hapatoshi
Mkuu RUSSIA ukivuka mstari wake mwekundu anakuchapa tu wala haoni shida

Sent from my SM-J5108 using JamiiForums mobile app
 
Kinachoilinda Urusi ni Kuwa na akiba ya Makombora ya nyuklia Kama ilivyo Korea Kaskazini. Bila Makombora ya Nyuklia ambayo Urusi hutishia kuyatumia pale ambapo anaona NATO wakiwa Serious Sana,Bila NUCLEAR WEAPONS Urusi hawezi kupigana Hata na MAREKANI Acha NATO.
Unahisi NATO hawaringii Nyuklia hizo ni silaha ambazo hata kenya wakiwa nazo lazima waringe nakuheshimiwa
ukweli nikwamba UKRAINE ajiulize CRIMEA ikowapi don bass kunaendeleaje halaf awe mpole atateseka bure hana msaada wamaana atakaoupata KREMLIN na DUMA zikiamua kufanya kweli

Sent from my SM-J5108 using JamiiForums mobile app
 
US amekomaa kweli kuhakikika nord stream 2 pipes hazifanyi kazi ya kupeleka gesi Ulaya. Anawavuruga wajerumani wagome kufungulia gesi. Amefanikiwa kuwachonganisha German na Russia kidiplomasia. Juzi kati wamefukuziana diplomats wawili kila mmoja.

Hata hivyo, US akiendelea kufanya hila gesi isiende Ulaya kwa kulazimisha vita kupitia Ukraine. Ulaya ijiandae na hata US pia ijiandae julipa fidia ya usumbufu huu kwa gharama kubwa mno!
 
Kinachoilinda Urusi ni Kuwa na akiba ya Makombora ya nyuklia Kama ilivyo Korea Kaskazini. Bila Makombora ya Nyuklia ambayo Urusi hutishia kuyatumia pale ambapo anaona NATO wakiwa Serious Sana,Bila NUCLEAR WEAPONS Urusi hawezi kupigana Hata na MAREKANI Acha NATO.
Mkuu utakuwa labda upo ndotoni. acha kabisa yani hata ukiweka silaha za nuclear pembeni basi jua mpaka mshindi anapatikana nchi zote zitakuwa zimechoma ile mbaya maana kama ni silaha mpya basi kwa Urusi zipo za kutosha
 
Kinachoilinda Urusi ni Kuwa na akiba ya Makombora ya nyuklia Kama ilivyo Korea Kaskazini. Bila Makombora ya Nyuklia ambayo Urusi hutishia kuyatumia pale ambapo anaona NATO wakiwa Serious Sana,Bila NUCLEAR WEAPONS Urusi hawezi kupigana Hata na MAREKANI Acha NATO.
Usijisaulishe mkuu.Islamic state walisumbua sana,Marekani na Nato walipeleka majeshi ila wakawa wanaruka ruka tu.mwanaume kaenda peke yake front ndani ya miezi 6 tu kwisha kazi.sasa sijui unaongelea nini mkuu.

Ukitaka kujua Warusi ni watu gani inabidi ukamulize Hitler au Napoleon.awa wote watakupa majibu mazuri kuhusu Warusi
 
Back
Top Bottom