Mzozo wa Urusi na Ukraine wafukuta zaidi

Mzozo wa Urusi na Ukraine wafukuta zaidi

Hana ubabe wowote kama anao ubabe aruhusu uchaguzi huru nyumbani Kwake!!?
Mtu anaogopa Mawazo huru ya wananchi wake,ataweza kupambana na majeshi ya magharibi,UK,US,na Israel!?
Mkuu linapkuja swala la Vita huwa Ni ngum kulilinganisha na swala la siasa, kwa nn nasema hvyo, kwanza watu huwa wanamitazamo ya kuwachukia watu wote wanaoleta maendele yanayo onekana na hvyo Ikiwa ataruhusu hlo anadondoshwa as๐Ÿ˜ฉ

Pili mazingira ya Vita kwa Sasa Ni Kama ya kutegeana kila taifa linavuta Kasia lake hasa haya ya usa, ulaya na nato, kila 1 yanamasilahi makubwa na ukeine, rassia wao wanawavizia tu wakijivulugha tu wanakiwasha, na ninaona kabisa kwa namna ambavyo Russia Ni mhim kwa mataifa ya ulaya hasa kwa gasi inayozalisha watapiga tu mkwala ila hawawezi chochote.

Rejea ule mzozo wa uk na Russia kuhus mwandishi kupewa sum na ilikuwa kipindi Cha kombe la dunia, uk walikuwa na shinikizo ili inyanganywe, ninapenda putine kwenye maamzi huwa Hana papara aliwaambia tu uk, "if u pop I pop" cjajua alimaanisha nn ila issue iliisha japo walitaka mavikwazo..

Ngoja tuone ila nahisi jamaa wanamtingisha tu hakuna Vita happy..
 
Vita Baridi. USSR is no More.

Nawewe tueleze,Kwanini Russia anaogopa Ex-Soviet states kujiunga NATO?

Kwanini Urus inaogopa Ukraine na Goergia zisijiunge NATO? Kwasababu ndio utakuwa mwisho wa Urus kuzivamia Nchi ndogondogo ambazo zamani zilikuwa kwenye muungano wa USSR.

Urus haiwezi kuthubutu kuvamia mwanachama yeyote Yule wa NATO,Hilo inalijua ndio maana Urus Inafanya juu chini Ukraine na Georgia wasijiunge NATO.

Kutokana na Mgogoro wa Ukraine ambao unafukuta hivi Sasa,Tayari Wizara ya Mambo ya nje ya Urus imepeleka mapendekezo yake nchini Marekani ili irudishe majeshi yake Nyuma kwenye Mpaka na Ukraine. Moja ya Mapendekezo hayo Ni NATO isikubali Ukraine na Goergia kujiunga NATO.

Karibu Mkuu wa NATO,Jern Stotenburg ameshaiambia Urus kwamba Jukumu la Ukraine na Goergia kujiunga au kutokujiunga na NATO lipo juu ya wanachama wa NATO na Sio Vitisho vya Urus.
Soma tena kisha angalia tv nimeamini muda ni hakimu wa haki huwa hauongopi.
 
Back
Top Bottom