Vita Baridi. USSR is no More.
Nawewe tueleze,Kwanini Russia anaogopa Ex-Soviet states kujiunga NATO?
Kwanini Urus inaogopa Ukraine na Goergia zisijiunge NATO? Kwasababu ndio utakuwa mwisho wa Urus kuzivamia Nchi ndogondogo ambazo zamani zilikuwa kwenye muungano wa USSR.
Urus haiwezi kuthubutu kuvamia mwanachama yeyote Yule wa NATO,Hilo inalijua ndio maana Urus Inafanya juu chini Ukraine na Georgia wasijiunge NATO.
Kutokana na Mgogoro wa Ukraine ambao unafukuta hivi Sasa,Tayari Wizara ya Mambo ya nje ya Urus imepeleka mapendekezo yake nchini Marekani ili irudishe majeshi yake Nyuma kwenye Mpaka na Ukraine. Moja ya Mapendekezo hayo Ni NATO isikubali Ukraine na Goergia kujiunga NATO.
Karibu Mkuu wa NATO,Jern Stotenburg ameshaiambia Urus kwamba Jukumu la Ukraine na Goergia kujiunga au kutokujiunga na NATO lipo juu ya wanachama wa NATO na Sio Vitisho vya Urus.