babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,916
- 6,697
Kweli we mtaalamu sana wa mambo ya kijeshi!!!Kinachoilinda Urusi ni Kuwa na akiba ya Makombora ya nyuklia Kama ilivyo Korea Kaskazini. Bila Makombora ya Nyuklia ambayo Urusi hutishia kuyatumia pale ambapo anaona NATO wakiwa Serious Sana,Bila NUCLEAR WEAPONS Urusi hawezi kupigana Hata na MAREKANI Acha NATO.
What a brilliant comment!! Kelele site za USA kuzuga Dunia kwamba Urusi hiko mbioni kuivamia Ukraine huo ni ukaghai mtupu wenye lengo lla kutafuta kisingizio cha ufunguzi wa mradi wa gesi Nord2 StreamUS amekomaa kweli kuhakikika nord stream 2 pipes hazifanyi kazi ya kupeleka gesi Ulaya. Anawavuruga wajerumani wagome kufungulia gesi. Amefanikiwa kuwachonganisha German na Russia kidiplomasia. Juzi kati wamefukuziana diplomats wawili kila mmoja.
Hata hivyo, US akiendelea kufanya hila gesi isiende Ulaya kwa kulazimisha vita kupitia Ukraine. Ulaya ijiandae na hata US pia ijiandae julipa fidia ya usumbufu huu kwa gharama kubwa mno!
Kwani hiyo gas mrusi anasupply bure,,nadhan analipwa. Kwahiyo akizuia atakuwa anajikosesha mapato ambayo ni muhimu sana kuendwshea vita. Huwezi pigana vita kama huna pesa.Mkuu NATO wanasimama vipi na nchi ambayo sio member? Itaishia tu kutoa support ya vifaa vidogo vidogo vya kujilinda kama ilivokuwa kwa Georgia. Unadhani watashinda Russia aki wage total war? Kwanza member gani wa NATO kichaa kiasi cha kutaka vita kamili na Urusi kisa Ukraine! Urusi waki activate tu Iskanders pale Kaliningrad utasikia Nato wanaomba suluhu ila pia wakiamua kutumia gas supplies kama siraha West hawawezi kuhandle matokeo. Kwa huu mgogoro Urusi wana kadi nyingi za kucheza tuombe tu wapate suluhu kwa kuwa ukiacha uchonganishi Urusi na Ukraine ni ndugu.
Hata US huwa anafanya hivyo nahakuna taifa linalotia pua!Putim ataichapa ukreini na hakuna hata taifa moja la ulaya litakalo tia pua .
Na nchi nyingi za ulaya magharibi zinategemea gesi ya mrusi kwa kiasi kikubwa wakisema waachane nayo alternatives zilizokuwepo ni ghali sana kiasi cha kwamba hata wao wenyewe waweka vikwazo watayumba, wangekua na uwezo huo wangeshatunisha msuli mapema sana,, bila gesi ya mrusi gharama za maisha kwenye nchi zao zitapanda hapo wataanza kupambana na wananchi wao kwanza na pili hata viwanda vyao vitayumba..............bado hawana alternative ya gas ya bei rahisi zaidi ya kwa mrusiKwani hiyo gas mrusi anasupply bure,,nadhan analipwa. Kwahiyo akizuia atakuwa anajikosesha mapato ambayo ni muhimu sana kuendwshea vita. Huwezi pigana vita kama huna pesa.
US mpaka sasa yuko Syria ananyonya mafuta na mrusi akishuhudia. Hawa miamba ni mbwembwe tu,wapo kimaslahi. Hawa ndiyo wanaozifaidi rasilimari za dunia.Hata US huwa anafanya hivyo nahakuna taifa linalotia pua!
Hitler bila mrusi angeshatawala ulaya yote.........jamaa aliwatuliza wote si Muingereza wala mfaransa ila akaharibu alipokichafua na mrusi....na ndo ukawa mwisho wa HitlerKinachoilinda Urusi ni Kuwa na akiba ya Makombora ya nyuklia Kama ilivyo Korea Kaskazini. Bila Makombora ya Nyuklia ambayo Urusi hutishia kuyatumia pale ambapo anaona NATO wakiwa Serious Sana,Bila NUCLEAR WEAPONS Urusi hawezi kupigana Hata na MAREKANI Acha NATO.
pale syria urusi ilitia pua na usa kaufyata kumbuka slogan ya assad must goHata US huwa anafanya hivyo nahakuna taifa linalotia pua!
Kwani Urusi ni wanyaturu?Ni vile tuu wazubgu hawataki kupigana vita [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila urusi anachapika asubuhi sana
Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
Kwamba NATO wanapigana kwa kutumia mawe na mapanga? Urusi hana ubavu kwa NATO.Mkuu NATO wanasimama vipi na nchi ambayo sio member? Itaishia tu kutoa support ya vifaa vidogo vidogo vya kujilinda kama ilivokuwa kwa Georgia. Unadhani watashinda Russia aki wage total war? Kwanza member gani wa NATO kichaa kiasi cha kutaka vita kamili na Urusi kisa Ukraine! Urusi waki activate tu Iskanders pale Kaliningrad utasikia Nato wanaomba suluhu ila pia wakiamua kutumia gas supplies kama siraha West hawawezi kuhandle matokeo. Kwa huu mgogoro Urusi wana kadi nyingi za kucheza tuombe tu wapate suluhu kwa kuwa ukiacha uchonganishi Urusi na Ukraine ni ndugu.
Tuambie vita gani NATO kashinda dhidi ya URUSI ,Kwamba NATO wanapigana kwa kutumia mawe na mapanga? Urusi hana ubavu kwa NATO.
Vita Baridi. USSR is no More.Tuambie vita gani NATO kashinda dhidi ya URUSI ,
Urusi katia pua Syria,Venezuela hadi leo maraisi waliotakiwa kuondoshwa wanadundaHata US huwa anafanya hivyo nahakuna taifa linalotia pua!
Well said, kwa bahati mbaya ni watu wachache watakuelewa!! Lakini ukweli wa historia ya WW2 ni kwamba ni jeshi la Urusi ndilo lilivunja uti wa mgongo wa jeshi matata la Hitler - mataifa mengine specifically US na UK utumia media zao kupindisha/kupotosha ukweli huo, hivi sasa USA imefikia hatua ya kushawishi nchi za Ulaya kwamba waviondoe kwenye mashelves ya Libraries zinazo tumiwa na: Public, Schools and Colleges yaani waondoe vitabu vya historia ya kweli kuhusu WW2 badala yake wavi - replace na vitabu vinavyo sema kwamba Amerika ndio ilishinda WW2, just imagine - cha ajabu baadhi ya Viongozi wa huko Ulaya wanaelekea kukubali upotoshaji mkubwa wa historia - lengo kuu la upotoshaji huu wanataka vijana wa Ulaya wa amini kwamba bila ya Ulinzi wa majeshi ya USA barani Ulaya basi watavamiwa na Majeshi ya Urusi (Russians are coming!!) ulaghai mtupu wenye lengo la kuhalalisha kuendeleza uwepo wa majeshi ya USA barani Ulaya miaka nenda rudi.Hitler bila mrusi angeshatawala ulaya yote.........jamaa aliwatuliza wote si Muingereza wala mfaransa ila akaharibu alipokichafua na mrusi....na ndo ukawa mwisho wa Hitler
Ni kweliNinachokijua mimi ni kuwa Urusi akiamua jambo lake basi uwa hakuna wa kuweza kumpinga zaidi ya kuishia tu kuweka vikwazo.
Urusi kuogopa ex soviet states kujiunga NATO inaeleweka kabisa. Kwanza kabisa kihistoria vita zote zilizoihusisha Urusi na nchi husika ilikuwa ni kwa mataifa ya magharibi kuivamia Urusi. Napoleone na Hitler ni mfano.Vita Baridi. USSR is no More.
Nawewe tueleze,Kwanini Russia anaogopa Ex-Soviet states kujiunga NATO?
Kwanini Urus inaogopa Ukraine na Goergia zisijiunge NATO? Kwasababu ndio utakuwa mwisho wa Urus kuzivamia Nchi ndogondogo ambazo zamani zilikuwa kwenye muungano wa USSR.
Urus haiwezi kuthubutu kuvamia mwanachama yeyote Yule wa NATO,Hilo inalijua ndio maana Urus Inafanya juu chini Ukraine na Georgia wasijiunge NATO.
Kutokana na Mgogoro wa Ukraine ambao unafukuta hivi Sasa,Tayari Wizara ya Mambo ya nje ya Urus imepeleka mapendekezo yake nchini Marekani ili irudishe majeshi yake Nyuma kwenye Mpaka na Ukraine. Moja ya Mapendekezo hayo Ni NATO isikubali Ukraine na Goergia kujiunga NATO.
Karibu Mkuu wa NATO,Jern Stotenburg ameshaiambia Urus kwamba Jukumu la Ukraine na Goergia kujiunga au kutokujiunga na NATO lipo juu ya wanachama wa NATO na Sio Vitisho vya Urus.