Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,475
- 1,860
Hii kuchanganyikiwa aliwahi kurekodiwa anatafuna taiππ
Mkuu linapkuja swala la Vita huwa Ni ngum kulilinganisha na swala la siasa, kwa nn nasema hvyo, kwanza watu huwa wanamitazamo ya kuwachukia watu wote wanaoleta maendele yanayo onekana na hvyo Ikiwa ataruhusu hlo anadondoshwa asπ©Hana ubabe wowote kama anao ubabe aruhusu uchaguzi huru nyumbani Kwake!!?
Mtu anaogopa Mawazo huru ya wananchi wake,ataweza kupambana na majeshi ya magharibi,UK,US,na Israel!?
Hata akizuia Ukraine imeshajiunga na NATOKwa tafsiri ya karibu, mzozo wa Ukraine umeanzishwa na au kuchochewa na Russia ili kuzuia eastward expansion ya NATO na au ku-create buffer zone
Soma tena kisha angalia tv nimeamini muda ni hakimu wa haki huwa hauongopi.Vita Baridi. USSR is no More.
Nawewe tueleze,Kwanini Russia anaogopa Ex-Soviet states kujiunga NATO?
Kwanini Urus inaogopa Ukraine na Goergia zisijiunge NATO? Kwasababu ndio utakuwa mwisho wa Urus kuzivamia Nchi ndogondogo ambazo zamani zilikuwa kwenye muungano wa USSR.
Urus haiwezi kuthubutu kuvamia mwanachama yeyote Yule wa NATO,Hilo inalijua ndio maana Urus Inafanya juu chini Ukraine na Georgia wasijiunge NATO.
Kutokana na Mgogoro wa Ukraine ambao unafukuta hivi Sasa,Tayari Wizara ya Mambo ya nje ya Urus imepeleka mapendekezo yake nchini Marekani ili irudishe majeshi yake Nyuma kwenye Mpaka na Ukraine. Moja ya Mapendekezo hayo Ni NATO isikubali Ukraine na Goergia kujiunga NATO.
Karibu Mkuu wa NATO,Jern Stotenburg ameshaiambia Urus kwamba Jukumu la Ukraine na Goergia kujiunga au kutokujiunga na NATO lipo juu ya wanachama wa NATO na Sio Vitisho vya Urus.
Hakuna vita hapo,mbwembwe tu.
ulikuwa sahihi, muda ni mwalimu mzuri sanaTime Will tell