ndio hofu yangu mkuu,haya mashule inawezekana yamebaki majina tu.
Hata baada ya Wibo Mzumbe imeendelea kufanya vzr kitaaluma. Mazingira ya kuishi sio mazuri na wanafunzi wanaugua mara kwa mara. Kama unaweza kumpeleka mwanao shule nyingine nzuri nakushauri ufanye hivyo kwani zipo shule zenye ufaulu mzuri na mazingira mazuri ya kuishi. Ila kama hauna uwezo wa kumpeleka shule nzuri bac anaweza kucompromise mambo mengine kwaajili ya kupata elimu nzuri ya mzumbe.
Mzumbe sitaisahau. Yale mazingira magumu. Kipindi cha masika hatari. Magonjwa ya ngozi kibao. Udongo ule mwekundu unajaa mpaka bwenini. Na yale mabweni kama kambi za manamba. Lakini ni bado sehemu nzuri kwa kusoma.
Ebana mdau,kama pesa ipo mpeleke mwanao shule nyingne tu..mzumbe kwa sasa haipo vizuri kitaaluma hasa kwa o-level,pia mazingira ya mzumbe ni magumu sana hasa katka kipindi cha masika coz huwa kunakua na mlipuko wa magonjwa.
mkuu kwa mazingira hayo unayosema tena bado unasema ni pazuri kwa kusoma,kivip?
kiko sakina kwa idi.dogo ajipange kna french brothanks mkuu,nimepata st patric,arusha.
kaka km ni kweli mazingira mazuri ya shule huwa bora kwa mwanafunzi. Lakini kuna wakati mazingira magumu hukufanya u focus na kile ulichofuata tu.