Kuwa makini katika uchaguzi wa shule...
Shule kama Kibaha,Ilboru,Mzumbe na Tabora boys ni bora sana kuliko shule nyingi za private kitaaluma....
Sio kila private school ina ubora..!Ukimtoa mwanao mzumbe akapelekwa St.Mary's,Feza boy'z,Don Bosco.. ts ok..
Otherwise wengi wanatamani nafasi aliyoipata mwanao..B careful b4 drawing your conclusion..
Shule kama Kibaha,Ilboru,Mzumbe na Tabora boys ni bora sana kuliko shule nyingi za private kitaaluma....
Sio kila private school ina ubora..!Ukimtoa mwanao mzumbe akapelekwa St.Mary's,Feza boy'z,Don Bosco.. ts ok..
Otherwise wengi wanatamani nafasi aliyoipata mwanao..B careful b4 drawing your conclusion..