kaka km
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 1,336
- 686
- Thread starter
- #41
Ilboru ni moja ya shule zenye utulivu! kwan ulisoma mwaka gani? Vurugu na migomo ndo vimetawala sikuhiz
kpnd dogo anafanya pepa yake ya drs la saba mwez wa 9 mwaka huu pale shulen kulikua na mgomo,akaiogopa,ila iko na fujo sana ck hz,sio km zaman.