Mzungu akiri kuwa mabeberu watafanya lolote kuhakikisha Africa inabakia kuwa masikini

Magufuli akiwaelekeza mnamuona sio,sisi waelewa tushamwelewa,huyu ndio anatakiwa kuwa Rais wa Africa na sio Tz,anaelewa ubaya wa hao watu,nyie mnaowalambalamba endeleeni hvyohvyo,mkija kushtuka mmebakiwa na mashimo tu,go for magufuli go for tz,go for afrika,afrika kwanzaaaaaaaa
 
Sasa umeanza kuja vizuri.

Ngoja niiangalie, halafu tutaijadili. Linaweza vuguvugu likaanzia JF.
 
ebu tingisa kijwa yako kama bakuli ya uyi
 
Thamani ya kampuni ya apple, unganisheni gdp ya nchi zote za Africa
 
Siyo kweli, ukiwa na akili unaweza kufanikiwa pamoja na magumu yote, hivi ni visingizio tu, inaonekena kama Afrika tu ndiyo inaonewa lkn ukweli ni kwamba Capitalists wanafanya hivyo Dunia nzima, kwanza katika sehemu ambazo Capitalists wameiba sana Afrika siyo nambo moja.
 
oi skia yaani Africa Kuna watu wachache, rasilimali Kama zote yaani, hafu hakuna unity, ko beberu anapata urahisi wakufanya Mambo yake kwa kuwa Kuna mzigo wakutosha, yaani Congo iendelee bila kushirikiana na mataifa ya Africa. Hapa beberu atakua ameshiba.

Mm simlaumu Sana mwafrika ila beberu mungu anawaona.
 

Siyo kweli hivyo ni visingizio, kuna nchi nyingi Duniani zenye rasilimali nyingi tu kama au hata kuliko Kongo, lkn ziko vizuri, Capitalist haangalii sura wala ngozi ya rangi yako anaangalia faida, na wapi anaweza kubana ili aongeze faida, ni hivyo tu, labda nikuulize kwa nini Qatar au UAE siyo masikini kama Equatorial Guinea au hata Angola tu? Kwa nini Nigeria wana hali mbaya ili hali ni nchi ya 6 Duniani kwa kuuza mafuta Duniani?
 
Sio by default ..it's definitely by design.

Why are having this conversation!?

Clearly you have been programmed to think like that... So are countries, they can be programmed to act a certain way... It has been done before.. and will continue to be done.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 

Sijakuelewa unachomaanisha unaweza kufanunua kama ukipenda, ...
 
Wao wanaremba wakati mwenzao Mchina anahamia kidogo kidogo na soon tutaanza kuona pure Chinese wenye uraia wa Africa kwa kuzaliwa. Hapo ndio watagundua kuwa bara zima ni la China na ndipo Viwanda vitajengwa kila nchi maana Chinese wataiona Africa ni yao, so zaidi ya 75% itafanya biashara na China.
China ndio watakaoibuka kidedea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…