Kamukhm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2015
- 2,801
- 4,212
Sijui kama nitaweza kucapture yoote ila nitajaribu.Sijakuelewa unachomaanisha unaweza kufanunua kama ukipenda, ...
Haya yanayotokea, political unrest, bad economic decisions zinazofanywa na watu wenye akili timamu often hazitokei bahati mbaya... Zinakuja kwa sababu zinapangwa ziwe/zitokee.
Power ya mafanikio iko kwenye mpango/utekelezaji madhubuti... Hii inasaidia kuhakikisha taratibu za kutumia rasilimali zinafanywa kwa mtindo wa kulenga ili kuongeza tija.
Kwa nchi nyingi za kiafrika zilishushiwa what we call democracy na the way ilivyokuwa implemented huku kwetu haikuwa na lengo la kutufanya huru zaidi nikuleta chaos ili tushindwe kujitawala kuwa na mpango wa muda mrefu na kuusimamia.
Sasa namna gani haya hufanywa ni kupitia all forms of indoctrination, be it schools, media, entertainment, music , etc.. ambazo zinapokea funds kutoka kwa Donors through NGOs to disrupt nationalistic agendas.
Ukiwaita warusi au wachina leo majority Wana parallel views about many things in their country... Ukiwaita Watanzania au Waafrika wengi leo wana mixed views often very contrary because that's how they are supposed to be; for others to benefit...
The biggest threat to the world is united africa.. because even if africans won't be as united; having an enforcement platform that can lock out looters is dangerous for the stability of developed world.
Take an example, Congo with all the natural resources, and gigantic population can't beat the economy of austria... Something is terribly wrong there... No matter how efficient you are an economy of 5m people can not beat the economy of 90m people it's just impossible.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app