Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,128
- 2,867
Hatuna mtanzania kama wewe unatamaani kuwa mtanzania, eti mimi mtanzania unazani utanzania unaupata Kwa kusema tu ? Wewe utabaki kua[emoji205]tu mpaka uweke nida id labda ndio watu watakuelewaAfrican race ndio race pekee inayochukiana yenyewe kwa wenyewe.
Mimi ni mtanzania ila watanzania wezangu hivyo si sawa. Binadamu hatakiwi kuwa hivyo.
Unafikiri kila mtanzania ni mjinga mkuu?Hatuna mtanzania kama wewe unatamaani kuwa mtanzania, eti mimi mtanzania unazani utanzania unaupata Kwa kusema tu ? Wewe utabaki kua[emoji205]tu mpaka uweke nida id labda ndio watu watakuelewa
Watanzania tuna matatizo fulani. Tunashangilia ndugu zetu wakiumia tuna sahau kuwa Wazungu wanatuweka watu weusi wote duniani katika kundi moja.African race ndio race pekee inayochukiana yenyewe kwa wenyewe.
Mimi ni mtanzania ila watanzania wezangu hivyo si sawa. Binadamu hatakiwi kuwa hivyo.
wanachekwa coz wakenya wanawalamba miguu sana wazunguWatanzania tuna matatizo fulani. Tunashangilia ndugu zetu wakiumia tuna sahau kuwa Wazungu wanatuweka watu weusi wote duniani katika kundi moja.
Ni wanafiki, waongo na wabaguzi sanaUkitaka kujua wakenya wa jf ni wanafiki mbona huwa hawaleti habari motomoto kama hii πππ
Wewe huwajui hawa viumbe kabisa..wakenya ni viluwiluwi, ukiona mtu anakuvizia ili achukue hata jina lako akalidalalie ili apate pesa huyo utamwita 'ndugu'.Watanzania tuna matatizo fulani. Tunashangilia ndugu zetu wakiumia tuna sahau kuwa Wazungu wanatuweka watu weusi wote duniani katika kundi moja.
Yanga waliitwa hivyo pia