Mzungu hatopokea Simu!

Mzungu hatopokea Simu!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Binadamu hurudia makosa yake yake kila siku, wengi hawaelewi Capitalistic system, Capitalist atakutumia na kukumwaga, ila siku unaotumika kuwakandamiza na kuwadharau wakija juu, Jew hatopokea Simu yako na hatokujua.

San Suu Kyi wa Mynamar mpaka alipewa Nobel prize leo hii yuko Jela na Mzungu hapokei simu.

Jew hana rafiki, ana maslahi tu!
 
Binadamu hurudia makosa yake yake kila siku, wengi hawaelewi Capitalistic system, Capitalist atakutumia na kukumwaga, ila siku unaotumika kuwakandamiza na kuwadharau wakija juu, Jew hatopokea Simu yako na hatokujua.

San Suu Kyi wa Mynamar mpaka alipewa Nobel prize leo hii yuko Jela na Mzungu hapokei simu, …
Huyu San Suu Kyi ngoja akipate cha moto. Alishiriki pia kuwakandamiza wengine alipopewa madaraka. Ndio maana her popularity has dwindled.
 
Huyu San Suu Kyi ngoja akipate cha moto. Alishiriki pia kuwakandamiza wengine alipopewa madaraka. Ndio maana her popularity has dwindled.

Ulipaswa kwanza uelewe Historia yake labda kwanza kama bado, and how she came to power!
 
Kwamba hii LOYO TUA ikifeli Pita hatapokea simu?
 
Back
Top Bottom