Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Kupitia michango ya wadau wengi nimeamini watanzania wanachuki kali hasa wanaume, [emoji1787]
Tafuteni hela kaka zangu, mkiwa na hela hamuwezi kuumia mkimuona dada yenu anadate na mzungu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] madume dada yamejaa Tanzania hadi baas lol.
Yana wivu hayo msieeew.
 
Kupitia michango ya wadau wengi nimeamini watanzania wanachuki kali hasa wanaume, [emoji1787]
Tafuteni hela kaka zangu, mkiwa na hela hamuwezi kuumia mkimuona dada yenu anadate na mzungu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] madume dada yamejaa Tanzania hadi baas lol.
Yana wivu hayo msieeew.
 
Aliniambia wako wawili tu na mdogo wake ni wa kike hatujaongea saana zaidi ya hapo kwa upande wa familia yake[emoji23]
Fanya mchakato kwa Huyo WiFi yako ili mambo yawe balance
 
Maskini yaani mtoto wa kike akizama penzini akili yake nayo inalala
Kaka yake akijaribu kumuamsha anaona anaonewa Wivu 😁😂😂😂
 
Maskini yaani mtoto wa kike akizama penzini akili yake nayo inalala
Kaka yake akijaribu kumuamsha anaona anaonewa Wivu [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
anafanya makosa mambo ya kuexport mbususu tuitumie hapa hapa sisi wazalendo
 
🤣🤣🤣
 
Maskini yaani mtoto wa kike akizama penzini akili yake nayo inalala
Kaka yake akijaribu kumuamsha anaona anaonewa Wivu [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23]mtuvumilie dada zenu tukipenda tunakuaga wabishi sanaa.
 
Unawaza utapata wapi tena laki 7 baada ya kufunga p.o.p ya uongo. Njoo upambane na waswahili tufukunyuane bila mizinga mikali.

Maendeleo hayana chama
Dah mi nadhani huwa nina mawazo tofauti huwa ninaamini kuwa wazungu kufuta marinda ni moja wapo ya ibada yao,naana ni kizazi cha sodoma,By the way marinda ni yake teawashwa nini?.
 
Tea with no sugar [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Extrovert:

Aache tamaa na akae kwa kutulia kama kweli ana upendo wa kuhamisha mito milima na mabonde. Ingawa pia dada anaonekana ana mizinga ambayo ipo indirect saaana.
 
Kupitia michango ya wadau wengi nimeamini watanzania wanachuki kali hasa wanaume, [emoji1787]
Tafuteni hela kaka zangu, mkiwa na hela hamuwezi kuumia mkimuona dada yenu anadate na mzungu.
Na chuki yao sababu tu kaongelewa mzungu na anatoa pesa. Wanaume wasio na hela wanakuaga na hasira sana kwa wanawake.

Watafute hela waache makasiriko madogo madogo.
 
Tea with no sugar [emoji23][emoji23][emoji23]
hii true story wenye tamaa na wanaowaza pesa za wanaume, ikiwemo wewe na wengineo hamuwezi mkaelewa wala kuielewa.

Mpaka siku mtakapofumuliwa marinda na kutolewa kafara, ndipo mtakapoelewa vema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…