Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo hutaki kuolewa na sisi Waafrika wenzako???, Yaani unataka kudate na mijitu iliyowasuribisha babu zetu kweli?. Ngoja wakutatue marinda.
Wazoee mwaya kaka zako wa huku wengi wako hivyoHalfu huwezi amini sikutegemea hiyo section ndio ingewatoa ma chozi kiasi hicho ujue[emoji23][emoji23]...yaani nimeshangaa sana, umaskini ukiuendekeza ni kitu kibaya sana.
Kutafuta hela? Dada yangu hatuna muda wa kutafuta pesa, hizi ndio tabia zetu, chuki roho mbaya na husda, na kulilia kutumiwa mikanda ya video chafu ..
Hahahaa kuanzia sasa Mimi ni M_DanishIkiwezekana na tuwe wazungu kabisa, tukitoka kwenye huu uzi tunarudi kuwa masela wa kibongo kama kawa 😂
Wafundisheni wenzenu kutumia pesa kwa mwanamke ni kawaida. Halafu mara nyingi unakuta ID zile zile ndo zinaongoza kwa makasirikoNi umaskini tu wa kimwili kiakili na kiroho..yani mtu unanuka umaskini hata ukisikia mwingine anafaidi maisha unatamani hata kumuua, ushahidi kama ulivyosoma comment haswa za wanaume. Tena anayefaidi awe mwanamke na anayemfaidisha na kumpa raha na pesa awe mwanaume mwenzetu..tunatamani tujikite kisu..
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hapana tahadhari tu anapeqa hakuna Cha bure dunia ya leoo.. Watu wanauzwa watu wanauliwaaa huko nje lakini yote hayo huanzia huku HELA HELA HELA. so awe makini tuWafundisheni wenzenu kutumia pesa kwa mwanamke ni kawaida. Halafu mara nyingi unakuta ID zile zile ndo zinaongoza kwa makasiriko
Hii inaitwa kitu kizito utosiniCha kwanza nilichokiona tu kwako una tatizo la njaa kwenye mahusiano sio rahisi kwa mtu wa kawaida kukwambia hilo ila most girls wanaowinda wazungu huwa ni sababu ya njaa tu na si kingine. Cha pili tuliza mshono.
Huyo jamaa atakutafuta tu usioneshe kuwa demanding sana huwa mambo yanaendaga smooth tu!
Njoo kwangu nikuoe, hutajilaumu.[emoji23][emoji41]Ukioa wewe mwafrikaa sio mbaya kila mtu ana machaguo yake..hivyo hakuna kupangiana nadhani, waliowasulubisha mababu zetu walishakufa hiki ni kizazi kingine.
Hao wabongo wanaotatuaga marinda wamezaliwa ulaya au? Tujifunze kutokua bitter souls[emoji23]
Wazoee mwaya kaka zako wa huku wengi wako hivyo
Wafundisheni wenzenu kutumia pesa kwa mwanamke ni kawaida. Halafu mara nyingi unakuta ID zile zile ndo zinaongoza kwa makasiriko
Hii nimeiokota huko forwarded as received ,muwe makini na wazungu wenu caring is poisonous trategy kuwapata japo siyo wote lkn kipaumbele ni usalama wako.[emoji854][emoji854]
Me napinga mzungu Hadi mwisho.[emoji28]
View attachment 2089671
Wengine wanaandika kwa hasira ndo shida[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hapana tahadhari tu anapeqa hakuna Cha bure dunia ya leoo.. Watu wanauzwa watu wanauliwaaa huko nje lakini yote hayo huanzia huku HELA HELA HELA. so awe makini tu
Wewe hutaki muzungu?Wazoee mwaya kaka zako wa huku wengi wako hivyo
makasariko lazima tu MTT mrembo halafu shepu ipo anaendaje huko kiurahisi Niko GOBA hapa aje apige kitimoto kidgWafundisheni wenzenu kutumia pesa kwa mwanamke ni kawaida. Halafu mara nyingi unakuta ID zile zile ndo zinaongoza kwa makasiriko
Weka update kwenye uzi wako kua ali respond, wenye chuki wazidi kuumia,Alirespond siku ile ile jion nilivyoleta uzi mkuu...thanks for caring[emoji120]
Weka update kwenye uzi wako kua ali respond, wenye chuki wazidi kuumia,
[emoji2][emoji2]
Utapokea mitusi!
Sio mambo yangu. Napenda blacksWewe hutaki muzungu?