Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Facebook ilikua zamani sio sasa hivi, kuna dating sites tofauti tofauti km tagged, international cupid, lovoo, tinder, christiancafe na afro introduction na nyingine nyingi tu...

Ni wewe tu kua makini usitume hela hata kwa fimbo hata huyu mzungu nilimshangaa na nilimuona he really meant it alivyorisk kunitumia hela na kunipa account yake ya netflix na his really password...na kunipa all of his details about him, he seems very serious inlove and interested with me.

Ashukuru Mungu alinikuta ni muaminifu na nilimpenda kweli maskini ya Mungu kaka wa watu otherwise angetapeliwa vibaya mno.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nitume hela?? Mimi niko na familia asee afu nianze tena kujiwekea mazingira magumu
 
Your right amenichek bro, simu take ilianguka wino ukajaa so akawa anasikia notification ila screen haifunction leo ndio kanunua simu mpya.

Naona sasa kiberenge kimerudi kwenye reli...☺️☺️ Kimbisa nakuchokoza tu
 
Facebook ilikua zamani sio sasa hivi, kuna dating sites tofauti tofauti km tagged, international cupid, lovoo, tinder, christiancafe na afro introduction na nyingine nyingi tu...

Ni wewe tu kua makini usitume hela hata kwa fimbo hata huyu mzungu nilimshangaa na nilimuona he really meant it alivyorisk kunitumia hela na kunipa account yake ya netflix na his really password...na kunipa all of his details about him, he seems very serious inlove and interested with me.

Ashukuru Mungu alinikuta ni muaminifu na nilimpenda kweli maskini ya Mungu kaka wa watu otherwise angetapeliwa vibaya mno.
Mkuu mpange tupige ngawira ..kwani mzungu ndugu yako..??!🤣
 
Nilichokisoma kwa huyu dada ni mtu flani hivi real halaf dizain km ana ka adabu flani hivi na ka upendo kutoka moyoni, upande wa adabu na malezi we cheki hata jinsi anavyojibu watu kwa ustaarabu sana.

Huyu jamaa atapata bahati akimpata huyu dada

Ume observe kitu sawa na mimi...mwandiko wake unaonesha hivyo...told her same thing yesterday in one of my comments....na nahisi haka ka Kimbisa kana ID kongwe ☺️☺️
 
Huyu dada ana emotional control nzuri sana.

Nimesoma comments za wana nikasoka na majibu yake ni mtu asiye na mawenge.


Sasa kuna mawili

Either

1. Wewe ni mwembamba labda na mweusi kwa hiyo umeona hizi ndo type za wadhungu maana wabongo wanapenda manyamanyama

Au

2.Una njaa

Ila mimi hayo yananihusu nilichopenda ni jinsi unavyojibu watu kwa utulivu

That level of utulivu is sexy.[emoji3059][emoji3059][emoji3059]
 
Your right amenichek bro, simu take ilianguka wino ukajaa so akawa anasikia notification ila screen haifunction leo ndio kanunua simu mpya.
Mambo ndo haya sasa
I'm happy for you sis
[emoji3060][emoji3060]
 
Huyu dada ana emotional control nzuri sana.

Nimesoma comments za wana nikasoka na majibu yake ni mtu asiye na mawenge.


Sasa kuna mawili

Either

1. Wewe ni mwembamba labda na mweusi kwa hiyo umeona hizi ndo type za wadhungu maana wabongo wanapenda manyamanyama

Au

2.Una njaa

Ila mimi hayo yananihusu nilichopenda ni jinsi unavyojibu watu kwa utulivu

That level of utulivu is sexy.[emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Anaonesha ana akili zake nzuri tu ,mtazamo wake hata Mimi nimeupenda kwakweli
Ana tatizo Moja tu linalomsibu!!
Naam tatizo lenyewe ni kutotaka kufungamana na sisi wazungu weusi [emoji1787]


Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Cha kwanza nilichokiona tu kwako una tatizo la njaa kwenye mahusiano sio rahisi kwa mtu wa kawaida kukwambia hilo ila most girls wanaowinda wazungu huwa ni sababu ya njaa tu na si kingine. Cha pili tuliza mshono.

Huyo jamaa atakutafuta tu usioneshe kuwa demanding sana huwa mambo yanaendaga smooth tu!
eti tuliza mshono...mkuu I can't you kabisaaaaaaaaaaaaaaa
 
Si alikuambia kuwa anatoka kidogo?

Just wait, if it's over will be over.

Tiki mbili na meseji haifunguliwi it's normal.

Jipe subira
 
Habari za leo wanajamvi!

Nimeona nilete hili jambo kwenu labda nitapata msaada wa mawazo na ushauri wenu ili nielewenini nifanye.

Mimi ni binti wa mid 20's km unavyojua kila mtu hua na malengo yake katika maisha basi na ana machaguo yake katika maisha km ambavyo mtu anapendelea mwanamke mwenye shape nzuri, au macho mazuri au sura nzuri, vivyo hivyo baadhi ya mabinti hupenda wanaume warefu mara wenye hela basi mimi ni binti nnaependa kudate na ngozi nyeupe (wazungu) ila si vile vibabu vya kizungu[emoji23].

Well, km ijulikanavyo huwez kupata kitu km hukifanyii efforts so nilikiunga na dating sites kadhaa katika one of the dating site nikakutana na kijana mmoja wa umri wa miaka 31 kutoka nchini Norway, huyu hakua kijana pekee niliewah kukutana nae ila wengi hawakuonyesha userious so na mm sikutaka kuwa entertain till nilivyoanza kuchat na kijana huyu, mwanzo alionyesha ukawaida km wengine so ckumtilia maanani sana ila ndani ya muda mfupi tu wa kuchat km week1 alionyesha km ana ka userious flan km kujibu txt ontime, kutoomba nudes (picha za utupu), kutaka kunijua kiundani na kufikia maamuzi ya kuomba if I can be his girlfriend of which I accepeted..alipanga aje nchini mwishon wa mwez huu na alishakata flight ya tarehe hizo za mwishon na hii ni only after 2 weeks of knowing each other, well niliona km things are going too fast ila sikuichukulia in negative way sababu mapenzi hayanaga formula.

Week 2 baada ya kua tunachat nae every day nilipata minor accident iliyonipelekea kuvunjika vidole vyangu vitatu vya mguu nikafungwa P.O.P (hogo) nikamtaarifu kua nimeumia na kumtumia picha swali la kwanza ni aliniuliza "Do you have western union?" Nikamjibu sina akaniuliza unaweza kutumia njia gani kupokea heka kutoka abroad nikamwambia ngoja niulize maana kiukweli nilikua sijui ndio one of my friend akaniambia nitumie "Worldremit" baada ya kumtumia hiyo app alishangaa maana hakuwahi kuitumia before ila aliidownload na akawa ananitumia screenshot kila hatua ili aweze kufill details zangu...baada ya dakika km mbili simu yangu ilisoma nimepokea laki7 za kitanzania kutoka kwake nilimshukuru kwa kweli ukizingatia sikumuomba ile hela na wala sikua na wazo hilo..aliniambia zitanisaidia kwa transport fees baada ya kujua sina personal car.

Tukawa tunaendelea kuchat by the time alikua na likizo za sikukuu za Christmas and new year so muda mwingi alikua online, he seems like he is an introvert masna kwenye video call hua ni km aina ya mtu anaeishiwa maongez though ni mchatiji mzuri, aliniuliza nacope vp hali ya kuwa nyumban mda wote wakat niko na ile P.O.P nikamjib kawaida tu sina jinsi inabid nitulie akaniuliza km nchini kwetu tuna Netflix nikamjibu ndio ila sikua na account akanitumia details za his personal account means user name yake na password yake na na akaniambia " do not freak out there is another girl using my account but thats my sister" so tulikua tunatumia hiyo accout mimi, yeye na huyo user mwingine ambae sikufatilia sana kumjua as long as alishaniambia ni dada yake..akanitumia kias kingine nijiunge na unlimited internet ili nisiwe bored.

Tuliendelea kuchat mpk alipomaliza likizo ya kaz na alivyoanza kazi, well mawasiliano yalipungua sio chatting za muda wote ila nilielewa sababu ya ubusy, ila lazima atatuma txt mara tu baada ya kutoka kazini mtachat au kuongea kidogo ndio atalala.

Juzi ndio ulikua mwisho wa mimi kuchati nae na our last conversation..aliniambia anatoka mara moja kutembea sababu amekaa ndan muda mrefu and he asked me how was my leg? Nilimjibu ila text ile haijafunguliwa mpk leo

Txt inadelever ila in grey tick which means haijafunguliwa, his last seen inaonyesha muda ule ule ambao tulichat mara ya mwisho so ni km hajaingia online tena, ila txt zinafika hofu yangu ni kua ya Mungu ni mengi amepata tatizo labda au? Maana siwez kujump kwenye bad conlclusion maybe amepata tatizo ila txt zinadeliver sena hazijafunguliwa tu na hajaingia online...ameamua kuquit mahusiano au? But hatujapishana kwa lolote au ni mimk ndie nina overthink?

His netflix account still works to me here, sijatuma txt nyingi sababu sion point ya kutuma txt wakati za mwanzo hazijajibiwa na hayuko online...je kwa wengine ishawahi watokea kitu km hii? Ina uwezekano akawa yuko busy sana? Isije nikasubiri meli wakati niko airport..Ndio masna nikaja hapa sababu ya ushauri wenu na mitazsmo yenu inaweza nisaidia.

I have developed some feelings for him honest speaking ila ni vyema nikajua niko position gani kwa sasa ili nisipoteze muda na hisia kwa mtu ambae labda si km nimfikiriavyo au nijaribu kumpigia kwa simu ya kawaida?

What do u think I should do guys? Au nisubiri tu nione itakuaje?
angalia usijetolewa kafara. TRUE STORY Hiyo

Kuna dada pale Mwz alikuwa mwanachuo, kwenye miaka kati ya 2005 hadi 2011 alikutana na jamaa wa kinigeria mtandaoni, wakaelewana vzr tuu, wakapatana kimapenzi, baada ya siku tatu jamaa likamrushia mdada milioni moja na kumuhaidi watakutana maana jamaa naye huwa anatembelea mataifa mbalimbali.

wiki ikawa ndo inamalizikia, jamaa likamtumia tena mdada milioni 2, huku wakiendelea kuwasiliana vzr tuu mpaka mdada wa watu kashangaa na kuona amebahatika, ikabidi awaeleza rafki zake chuoni.

siku jamaa likamtaarifu tyari limefika Mwnz akamwomba mdada wakutane. Basi yule dada kafurahi akijua amepata kumbe nyuma ya pazia kuna mengi. Wakakutana hoteli kali kabisa vyakula na vinywaji kwa wingi vikaagizwa.

Baada ya hapo jamaa likamtaka mdada ampe mechi, mdada kawa anazingua, akamiminiwa pesa tena na kulazimishwa kwanguvu mpaka kakubali. Kuingia chumbani wamefunga mlango, jamaa likavua shati kifua chote kimeoza, kinanuka, funza wanatembea kifuani pa hilo jamaa. Na mdada kupiga yowe akawa hawezi tena.

Mdada akaingiliwa na katafunwa vilivyo. Baada ya hapo akarudi chuoni hana amani. Kakaa siku moja kaanza kuumwa, ikabidi awaeleze wenzake yalotokea, hali ilimbadilikia kabisa ikabidi wazazi wake waitwe, wakati wanamchukua kumuwahisha hospitali wakiwa njiani mdada akaanza kuoza kifua kama lile jamaa huku funza wamemzingira kifuani na harufu. Hata hawakufika hospitali mdada alikata roho, ikabaki historia mpaka leo.

kuweni makini msiwe wepesi wa kumwamini kila mtu. Kama una bahati unayo tuu msiwe na papara.
 
Atakutafuta leo. Si unaona ilikuwa ni weekend? Mpenzi wako alienda kwa mpenzi wake na simu anayotumia kuchat na wewe aliiacha nyumbani kwake akaondoka na nyingine ambayo sasa wewe hauna.
Usijali atarudi leo, muendelee mlipoishia.

Nimechekaaaaaa una nn lakini Hannah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sababu haikua kawaida yake, halaf namna nilivyopata ajali ilinifanya nikawa sijiamini kabisa na last time aliniaga anaenda nje for a walk...ilikua ni weekend ajali ni nyingi..nikikumbuka ile ajali yangu niliipata lisaa limoja tu baada ya kuwasiliana nae nikaona chochote kinaweza kutokea kwa wakati wowote.
Ok so inawezekana wenge la ajali lilichangia ...

Kila kitu kikawakwenye panic mode
 
Nilichokisoma kwa huyu dada ni mtu flani hivi real halaf dizain km ana ka adabu flani hivi na ka upendo kutoka moyoni, upande wa adabu na malezi we cheki hata jinsi anavyojibu watu kwa ustaarabu sana.

Huyu jamaa atapata bahati akimpata huyu dada

Aisee almost mwaka na nusu, haikua rahisi hata kidogo ila Mungu ni mwema sanaa.
 
Back
Top Bottom